Nipo kwa rafiki yangu naye ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi hata hela ya chakula

Nipo kwa rafiki yangu naye ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi hata hela ya chakula

Jamani rafiki yangu wa kike aliniita nikampe company na hii naingia wiki pili ila ana rafiki mwingine ambae akija ananisema kwa mafumbo sana eti nimekaa sana sitoi chochote ata Hela ya chakula ....
NB.(Aliniita mwenyewe)

Ila Mimi nakausha kama sitambui lolote ila moyoni naona aibu....

Hii kusemwa inamaanisha sitakiwi au?
Kwa malalamiko haya ni wazi huna mawasiliano mazuri na wazazi wako au hauna kwenu
 
Ungekuwepo tumtie makofi 🤣🤣🤣🤣🤣
Nipe mualiko...maisha haya mafupi sana ..kwanini iwe mafumbo.
Why stressess kwa maisha mpaka ifike uwaze mtu.
😀😀😀😀😀😀
Atachezea makofi mpaka afungue hizo mafumbo yake.
 
Back
Top Bottom