Nipo kwenye basi hili lijamaa linasoma mgs zangu nimegeuza kamera nikalinasa

Nipo kwenye basi hili lijamaa linasoma mgs zangu nimegeuza kamera nikalinasa

Aisee rijamaaa umelikamata vizuri, tupe picha yake full. Sasa ungetaka kurimaliza ungeweka ka video ka x, nadhani ungekuja na story nzuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mianaume ya Dar yani ni mioga sijapata kuona,sasa hicho kivulana ndio unaliita lijamaa?sasa ukionana na mijamaa ya huku kwetu Mara utaiitaje?alafu wewe ndiye upo nalo humo ndani ya gari why usilipe vitasa tu mmalizane ili kila mtu afe na chake?au unakaogopa?
Sasa mbona na wewe wa Mara umeanza kutumia li.. Si ungeanza kwa kusema ka... Acha uwoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom