Nipo kwenye basi hili lijamaa linasoma mgs zangu nimegeuza kamera nikalinasa

Nipo kwenye basi hili lijamaa linasoma mgs zangu nimegeuza kamera nikalinasa

Ni kweli shingo kaelekeza na kadhamiria kussoma mesage zako. ukiwasha cmu tu au ipadkama kuna mtu akasimama lazima ageuke!! hilo huwezi kuzuia. labda uwe unakaa kiti cha mwisho kabisa ama dirishani ili cmu uelekeze dirishani. sanasana ukitaka asiangalia muelekezee jifany unajibu mesage kuza maandishi then mwandikie ACHA KUSOMA MESAGE ZANGU! SIO UUUNGWANA. Utaona anageuka mwenyewe!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
si anaogopa..

Ndo tabu ya kuzaliwa Dar hii,

hapo kidume cha bara kiko kwenye ulinzi shirikishi,
huwezi jua,unaweza kuta magaidi ya kibiti yanatumiana message,
lazima tuwe macho mda wote..


Ha ha ha..
Hv hujuagi ni wa wapi!
 
Wakuu hili lijitu linasoma msg zangu,

Lenyewe limekosa nafasi ya kukaa badala liangalie miti inavyokimbia nje linaangalia simu yangu, nimfanyeje?

View attachment 550978

Sent using Jamii Forums mobile app

UPDATE:
NIMEMTUMIA MTU MSG YA WHATSUP NA HIYO PICHA
WAKATI NAANDIKA JAMAA KASHTUKA MNO MNO MNO
3eb1f3336810946b7e37e27ae44942ac.jpg
SASA NG'OMBE WANAONAGA?
 
Hahahahah niliwahi kukutwa na mkasa kama huo baada ya kuona nikaandika msg,"naona hili joka kwenye begi linanigusa nahisi linatoka na begi halifungi zipu, sasa naogopa kuna mzee nimekaa nae sijui kama ataweza kukimbili likitoka au litamuuma". Baada ya hapo yule mzee pembeni yangu aliomba kushuka kabla hajafika hata alipokuwa akienda. Spendi ujinga mimi
 
Ni kweli shingo kaelekeza na kadhamiria kussoma mesage zako. ukiwasha cmu tu au ipadkama kuna mtu akasimama lazima ageuke!! hilo huwezi kuzuia. labda uwe unakaa kiti cha mwisho kabisa ama dirishani ili cmu uelekeze dirishani. sanasana ukitaka asiangalia muelekezee jifany unajibu mesage kuza maandishi then mwandikie ACHA KUSOMA MESAGE ZANGU! SIO UUUNGWANA. Utaona anageuka mwenyewe!!

Shauri na umekisha huyo Usa**** wa Ta**
 
Mimi kuna lidada moja niliwahi ligundua linafanya hivyo hivyo kwenye basi nikalikabidhi simu lisome liridhike then linirudishie. Nadhani kituo alichoshuka hakupanga maana sister siti ya nyuma alimuungia kichambo cha ki-Mange mange.

Sent using Jamii Forums mobile app

me kina jamaa nachati na wife yeye atoa mimacho nikafungua kamera ya mbele nikapiga picha.nikamwambia nipe namba yako nikitumie[emoji102][emoji102]
 
unge andika, vipi nibonyeze button nijilipue na hili bomu' aha nadhani huyo jamaa ungemkuta nje kupitia kioo
 
Back
Top Bottom