Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Wakuu kama mada hapo juu.
Tumefika saa mbili lakini zoezi linaendelea hadi mda huu. Wanataka imei number na wamesisitiza hawataki simu za shangazi uje nayo leo na siku za kazi unakuja nq samsung yako s2.
Uhakika wa chaji kutunza ndio msingi wa zoezi
Tumefika saa mbili lakini zoezi linaendelea hadi mda huu. Wanataka imei number na wamesisitiza hawataki simu za shangazi uje nayo leo na siku za kazi unakuja nq samsung yako s2.
Uhakika wa chaji kutunza ndio msingi wa zoezi