Nipo live eneo la usahili anwani za makazi na postikodi

Nipo live eneo la usahili anwani za makazi na postikodi

Hii kazi hii



Baada ya wiki


Nitakuja kuwapa vichekesho kweli bongo .

Bongo ni nyoso [emoji1787][emoji1787]



Kiufupi nina siku mbili toka kazi nianze


Niseme tu hii nchi kuna watumishi wengi wanamyumbisha mama
Hela walizoorodheshwa mtakuwa mkilipwa za kila siku hamkupewa nn[emoji1787]?
 
Hela walizoorodheshwa mtakuwa mkilipwa za kila siku hamkupewa nn[emoji1787]?
Ukiachana na masuhuala ya malipo kuna mengi sana [emoji1787] yanafurahisha



Kikubwa mpka watendaji mitaa, wenyeviti na wajumbe wanalalamika sana


Kweli kamati iliyopewa hili zoezi na halmashauri ya mji kwa ujumla Mungu anawaona [emoji3]
 
Hili zoezi ni gumu wahusika wa juu wakifanya mchezo waajiriwa wa chini watakimbia kazi ni ngumu changamoto nyingi sana pia
 
Back
Top Bottom