Nipo live eneo la usahili anwani za makazi na postikodi

Nipo live eneo la usahili anwani za makazi na postikodi

Nilichogundua ni kuwa halmashauri nying hawajalipa kwenye semina labda watawalipa huko mbele pia huku nilipo wadada wamepata sana shavu na leo wameanza kazi bt baadhi yao wamekutana na Changamoto ya kutembea na kuna possibility kubwa ya kubwaga manyanga
Duuh kwahyo kwenye semina hamna mshiko

Daah watupe basi hata chakula
 
Server ya hawa jamaa inacherewesha sana kazi,hili zoezi limeandaliwa kiupigaji na wanapiga kweli
 
Ni mji gani hiyo Nyumb 35 a Day... wengine tumefanya interview week ya pili sas imeisha hakuna majibu
 
Back
Top Bottom