Zakia sultani
Member
- Dec 14, 2020
- 53
- 55
Ila hii kazi unatembea jamani,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho saa ngapi ?Ila hii kazi unatembea jamani,
Duuh kwahyo kwenye semina hamna mshikoNilichogundua ni kuwa halmashauri nying hawajalipa kwenye semina labda watawalipa huko mbele pia huku nilipo wadada wamepata sana shavu na leo wameanza kazi bt baadhi yao wamekutana na Changamoto ya kutembea na kuna possibility kubwa ya kubwaga manyanga
Nisijue kwenu huko lakin huku hatukulipwa kwakweli!!Nimefanikiwa kupita kwenye interview tumeitwa kwenye semina
Hivi kwenye semina wanatulipa ?
Nimepata na simjui hata mfanya usafi wa halmashauri hii.Kama huna connection fanya mishe zingine
Muundo wa kazi ukojeNimepata na simjui hata mfanya usafi wa halmashauri hii.
Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
Basi kuwepo hata na msosi sio semina asubuhi mpka jioni hulipwi hata kula usile piaNisijue kwenu huko lakin huku hatukulipwa kwakweli!!
Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
Kazi inaanza kesho tumefanya semina jana, kuhusu muundo na malipo hatujaambiwa tutalipwaje. Tumembiwa tunaweza fanya kazi tukiwa wawili wawili au mmojaMuundo wa kazi ukoje
Unakuwa na msaidizi
Na nyie mnalipwa ngapi
Na mshiko unapewa kila siku baada ya kazi ?
Msosi tulipewa na majiBasi kuwepo hata na msosi sio semina asubuhi mpka jioni hulipwi hata kula usile pia
Hapo sawa
Ila kwa tetesi ulizoskia kwa siku mnakula ngapi ?Kazi inaanza kesho tumefanya semina jana, kuhusu muundo na malipo hatujaambiwa tutalipwaje. Tumembiwa tunaweza fanya kazi tukiwa wawili wawili au mmoja
Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
Sisi tuliwekewa kabisa kwenye tangazo la kazi kwamba ni 20kIla kwa tetesi ulizoskia kwa siku mnakula ngapi ?
Si haba sisi kwenye tangazo hawajaweka kabisa kwahyo wakikupa 5000 au kumi huwezi bishaSisi tuliwekewa kabisa kwenye tangazo la kazi kwamba ni 20k
Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
Yaan mnapangwa kabisa ukimchukua mwenzio ye atamaliza sangap kwake maana tumepewa target mkuu kwa kila sikuSi haba sisi kwenye tangazo hawajaweka kabisa kwahyo wakikupa 5000 au kumi huwezi bisha
Ila hizi kazi mkuu usifanye peke ako mchukue mwenzako uwe na msaidizi
Target mliyopewa kwa siku wanatakajeYaan mnapangwa kabisa ukimchukua mwenzio ye atamaliza sangap kwake maana tumepewa target mkuu kwa kila siku
Sent from my SM-G930V using JamiiForums mobile app
nyumba 35 mkuuTarget mliyopewa kwa siku wanatakaje