Nipo live eneo la usahili anwani za makazi na postikodi

Nipo live eneo la usahili anwani za makazi na postikodi

Hii kazi hii



Baada ya wiki


Nitakuja kuwapa vichekesho kweli bongo .

Bongo ni nyoso [emoji1787][emoji1787]



Kiufupi nina siku mbili toka kazi nianze


Niseme tu hii nchi kuna watumishi wengi wanamyumbisha mama
 
Hili zoezi ni takataka kabisa kwa hii halmashauri niliyopo kwa sababu server inazingua halafu malipo hayajulikani ni lini kingine watu wanaenda kuchukua orodha za wenyeviti wa vitongoji na kujazia chini ya miembe kiukweli nchi hii bado sana afadhali mrema yeye anaoa kibinti kibichi cheupe atakuwa anaenjoy hata kagoli kamoja kwa mwezi
 
Hili zoezi ni takataka kabisa kwa hii halmashauri niliyopo kwa sababu server inazingua halafu malipo hayajulikani ni lini kingine watu wanaenda kuchukua orodha za wenyeviti wa vitongoji na kujazia chini ya miembe kiukweli nchi hii bado sana afadhali mrema yeye anaoa kibinti kibichi cheupe atakuwa anaenjoy hata kagoli kamoja kwa mwezi
IT wa bongo ni miyeyusho hata huku server inaleta ungese Daah kwenye mwembe sijui kwenye gps itakuaje hapo maana unatakiwa uchukue exact location ya nyumba ujaze ili latitude na longitude wazipate [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapo wahuni wanapika data [emoji1787]



Kwenye malipo kuna upigaji kuna baadhi ya halmashauri waligoma kuanzia viongozi namaanisha wajumbe na wenyekiti na waajiriwa wale wakusanya taarifa kama mimi na wewe


Huku kwetu tuna siku ya pili hatujalipwa
 
wakuu hivi seminar ina malipo kweli au ni free.

na je kwa mlioanza kazi, mnapewa hela ya bando na posho kweli au imekaaje hiyo
 
Semina huku kwetu watu wamelipwa elfu 20 kila siku moja wamefanya siku mbili kwaiyo arobaini kwaiyo pamoja na hilo upigaji ni mwingi sana viashiria vingine vya wazi mambo yapo kishwahili bado hili zoezi mheshimiwa raisi alifatilie kwa kina Sana lasivyo kuna watakao muharibia kazi
 
IT wa bongo ni miyeyusho hata huku server inaleta ungese Daah kwenye mwembe sijui kwenye gps itakuaje hapo maana unatakiwa uchukue exact location ya nyumba ujaze ili latitude na longitude wazipate [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapo wahuni wanapika data [emoji1787]



Kwenye malipo kuna upigaji kuna baadhi ya halmashauri waligoma kuanzia viongozi namaanisha wajumbe na wenyekiti na waajiriwa wale wakusanya taarifa kama mimi na wewe


Huku kwetu tuna siku ya pili hatujalipwa
Mkuu hela ya bando wamewapa
 
Kuna wilaya nasikia walifanya semina tarehe 8/03/2022 hadi leo hawajaitwa na hawajui kinachoendelea na wala hakuna posho ya Semina [emoji16][emoji16]
 
Huu ni upigaji pesa kiaina
sensa ya nini sasa?
Ni jukumu la serikali Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Serikali za Mitaa na Halmashauri sio kuita watu kwenye mikusanyiko isiyo ya lazima

Hivi waafrica tunakosea wapi?
 
Back
Top Bottom