Nipo live eneo la usahili anwani za makazi na postikodi

Nipo live eneo la usahili anwani za makazi na postikodi

Hakikisha sim yako iwe na uwezo mkubwa tu. Maswali ni ya kawaida

jinsi gani ya ku install na unstall application.

Unaelewa nn postcode na anwani za makazi

Tofauti ya barabara na njia
 
Mkuu Kunguru wa Manzese em fanya kutuwekea maswali yalioulizwa kwenye interview iwe faida kwa wengine watakao itwa kwenye hyo interview, bila shaka maswali yanaweza kuendana kwa vile ni kazi za aina moja!
Haya mambo naelewa umuhimu wake kiongozi kama uzi ulivyosema basi system yetu ya interview nilieleza huko juu uki scroll post zilizopita unaweza ona

Ngoja nirudie tena kiongozi

Cha kwanza sisi hatukuwa written interview

Sisi ulikuwa unaingia ndani na simu yako hakikisha ni yako iko full charge

Cheti original cha form 4 na Cha kuzaliwa basi hakuna ziada

Ukifika ndani wanakuuliza miaka yako japo cheti cha kuzaliwa ushawapa so unaweza jiuliza si wanaweza angalia hapo

Elimu yako au umeishia level gani na unafanya nini kwa sasa yaani kinachokuingizia income maswali wanaweza kuuliza kwa kingereza au kiswahili depend na mood yao [emoji3]

Wanawakuwa watu wawili. Mmoja anakuuliza hayo maswali mwengine anakwambia umpatie simu yako
Kwenye simu kwanza wataangalia kama email inaendana na ile iliyoandikwa
Na wataangalia na android version ya simu yako vengine sijui maana anaikagua simu kwa mda kidogo na huwezi ona la kwa ujanja

Baada ya hapo unapewa simu yako unaambiwa ondoka
 
Haya mambo naelewa umuhimu wake kiongozi kama uzi ulivyosema basi system yetu ya interview nilieleza huko juu uki scroll post zilizopita unaweza ona

Ngoja nirudie tena kiongozi

Cha kwanza sisi hatukuwa written interview

Sisi ulikuwa unaingia ndani na simu yako hakikisha ni yako iko full charge

Cheti original cha form 4 na Cha kuzaliwa basi hakuna ziada

Ukifika ndani wanakuuliza miaka yako japo cheti cha kuzaliwa ushawapa so unaweza jiuliza si wanaweza angalia hapo

Elimu yako au umeishia level gani na unafanya nini kwa sasa yaani kinachokuingizia income maswali wanaweza kuuliza kwa kingereza au kiswahili depend na mood yao [emoji3]

Wanawakuwa watu wawili. Mmoja anakuuliza hayo maswali mwengine anakwambia umpatie simu yako
Kwenye simu kwanza wataangalia kama email inaendana na ile iliyoandikwa
Na wataangalia na android version ya simu yako vengine sijui maana anaikagua simu kwa mda kidogo na huwezi ona la kwa ujanja

Baada ya hapo unapewa simu yako unaambiwa ondoka
Mkuu Kunguru wa Manzese ninashukuru sana kwa jibu lako, hapo tayari umenipa mwanga sababu naamini maswali yanaendana kwa sehemu nying sana kulingana na maelezo yako sina shaka, naamini nitapata hii kazi ya mda mfupi!
 
Kwa haya maswali vichwa vingi vya kibongo havitoboi . Kwa hii nchi ya kupenda umbea na habari za udaku hapa hawatoboi[emoji1][emoji1][emoji1]
Daaaaah umenichekesha sana mkuu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28]
 
Kwa wale wale ikiwa wataambiwa wapeleke imei number, ni bora wainakili kwenye karatasi mapema na kuliko kupiga *#06# ili kupata imei no. Kuna mtu simu yake kipindi amepiga hiyo number ikamletea imei na kipindi anaitaja simu iliganda kwa mda kabla ya kuambiwa UI system is not responding. Kwa hiyo aliambiwa apishe wengine kwani mda hautoshi. Tecno hizi basi tu ila sometimes zinaboa kwa kustaki staki wakati wa muhimu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Halmashauri ya mji wa mafinga sijui mkurugenzi kapiga hela nn maana wiki ya nne hii toka tupeleke barua za maombi[emoji28][emoji28]
 
Mbona mliopita kweny interview na mpo kwenye training hamsemi kama wanalipa???? Ila Taarifa muhimu wajameni
 
Mbona mliopita kweny interview na mpo kwenye training hamsemi kama wanalipa???? Ila Taarifa muhimu wajameni
Nilichogundua ni kuwa halmashauri nying hawajalipa kwenye semina labda watawalipa huko mbele pia huku nilipo wadada wamepata sana shavu na leo wameanza kazi bt baadhi yao wamekutana na Changamoto ya kutembea na kuna possibility kubwa ya kubwaga manyanga
 
Nilichogundua ni kuwa halmashauri nying hawajalipa kwenye semina labda watawalipa huko mbele pia huku nilipo wadada wamepata sana shavu na leo wameanza kazi bt baadhi yao wamekutana na Changamoto ya kutembea na kuna possibility kubwa ya kubwaga manyanga
Kwani Hawakujua kama hizi kazi unatembea kila kona kila nyumba kwenye mtaa kukusanya data
 
W
Nilichogundua ni kuwa halmashauri nying hawajalipa kwenye semina labda watawalipa huko mbele pia huku nilipo wadada wamepata sana shavu na leo wameanza kazi bt baadhi yao wamekutana na Changamoto ya kutembea na kuna possibility kubwa ya kubwaga manyan

Kwani Hawakujua kama hizi kazi unatembea kila kona kila nyumba kwenye mtaa kukusanya data
Walijua kuna wali nazi na mchuzi funza 🤠🤠🤠🤠
 
Back
Top Bottom