Nipo live eneo la usahili anwani za makazi na postikodi

Nipo live eneo la usahili anwani za makazi na postikodi

Kanda ya ziwa wamechelewa sana


Sisi wenyewe toka tuandike barua mwisho februari 28 jana ndio majina yametoka leo ndio tumefanya usaili
sisi ilikuwa mwisho wa maombi ni tarehe 25 february, ila bado tunasikilizia. vipi wanatoa majina kwa mfumo gani. unapewa taarifa kwa njia ipi
 
sisi ilikuwa mwisho wa maombi ni tarehe 25 february, ila bado tunasikilizia. vipi wanatoa majina kwa mfumo gani. unapewa taarifa kwa njia ipi
Matangazo wanagandisha kwenye ofisi ya mtendaji sijui bomani na maanisha hizi ofisi wanazokaa hawa watumishi kwa pamoja mkurugenzi ,dus ,dco nk hakuna cha text wala kupigiwa simu


Uwe unapita mara kwa mara kuangalia tofauti na hapo utashtuka majina yashatoka kitambo

Mimi nilikuwa naenda kuangalia mara kwa mara nikalifuma jana jioni halafu leo asubuhi usahili
 
Matangazo wanagandisha kwenye ofisi ya mtendaji sijui bomani na maanisha hizi ofisi wanazokaa hawa watumishi kwa pamoja mkurugenzi ,dus ,dco nk hakuna cha text wala kupigiwa simu


Uwe unapita mara kwa mara kuangalia tofauti na hapo utashtuka majina yashatoka kitambo

Mimi nilikuwa naenda kuangalia mara kwa mara nikalifuma jana jioni halafu leo asubuhi usahili
hapo kazi ipo.
 
Mbona ambao tayari mmeshafanya interview mnaombwa kuweka maswali yanayoulizwa hapa mnakaa kimya wakuu kulikoni aiseee.... just know sharing is caring wazee...tubebane wana
 
mi mwenyewe natamani kujua hilo. maana sisi wengine tokea tuombe huku Manispaa ya Mpanda hatujui nini kinaendelea
naona yametoka kuna moja usahilini 12,13 weru weru na 14 ambayo pdf iko kwenye site. nyingine ya majina buku
 
Mbona ambao tayari mmeshafanya interview mnaombwa kuweka maswali yanayoulizwa hapa mnakaa kimya wakuu kulikoni aiseee.... just know sharing is caring wazee...tubebane wana
Mkuu Kizitofx kuna watu ni wabinafsi na hawapendi kuona wengine wanapata, yaani mtu amefanya usaili mkoa tofauti na maswali anayajua lakin anashindwa kushare iwe faida kwa wengine....hizi roho mbaya sijui zinawafikisha wapi watu kma hawa?
 
Nimetoka Leo kwenye interview ya Anwani za makazi nitashare maswali kadhaa ninayokumbuka hapa yawasaidie wale ambao Bado hawajafanya usaili

1, Anwani za makazi na postikod ni nini?
2,Taja faida 5 za mfumo huu wa Anwani za makazi
3, kwanini mfumo wa Anwani za makazi unaonekana kuwa Bora kuliko mfumo wa posta ambao umeonekana kuleta usunbufu?

4, Ni lini Rais ameagiza zoezi hili la ukusanyaji Taarifa za ANWANI ZA MAKAZI kuwa limekamilika!?

5, Dunia Ina pande kuu nne lakn unaweza kuziweka na kueleza zifike nane au kumi na sita....chora dira ya pande nane za Duniani na kuziainisha.

6,taja aina 3 za Anwani zinazotumika ulimwenguni.
7, Mambo matatu ya KUZINGATIA unapoenda kukusanya Taarifa za ANWANI ZA MAKAZI na postikod.

8. Unaishi tarafa gani, halmashauri gani,Kata gani.

Taja jina la afisa tarafa wako,jina la Diwani wako,mtendaji WA kata,mtendaji WA mtaa.

Wakuu haya hapa ndio kadhaa nayakumbuka kwenye paper la interview leo... fanyien Kazi
 
Nimetoka Leo kwenye interview ya Anwani za makazi nitashare maswali kadhaa ninayokumbuka hapa yawasaidie wale ambao Bado hawajafanya usaili

1, Anwani za makazi na postikod ni nini?
2,Taja faida 5 za mfumo huu wa Anwani za makazi
3, kwanini mfumo wa Anwani za makazi unaonekana kuwa Bora kuliko mfumo wa posta ambao umeonekana kuleta usunbufu?

4, Ni lini Rais ameagiza zoezi hili la ukusanyaji Taarifa za ANWANI ZA MAKAZI kuwa limekamilika!?

5, Dunia Ina pande kuu nne lakn unaweza kuziweka na kueleza zifike nane au kumi na sita....chora dira ya pande nane za Duniani na kuziainisha.

6,taja aina 3 za Anwani zinazotumika ulimwenguni.
7, Mambo matatu ya KUZINGATIA unapoenda kukusanya Taarifa za ANWANI ZA MAKAZI na postikod.

8. Unaishi tarafa gani, halmashauri gani,Kata gani.

Taja jina la afisa tarafa wako,jina la Diwani wako,mtendaji WA kata,mtendaji WA mtaa.

Wakuu haya hapa ndio kadhaa nayakumbuka kwenye paper la interview leo... fanyien Kazi
Duuh mlikuwa wangp mpk mkapewa Interview ya Written?
 
Bora nyie mpo live.huku wilaya ya mkuranga deadline ilikuwa jana lakin kazi zilishaanza kimya kimya kwa watu maalumu na fomu nimepita zipo pale pale ofisini hazijapelekwa kokote.nimepata habari hao wamejitolea bure bila malipo.nchi ngumu sana hii.kazi za bure pia unaweza usipate kama huna mtu wa kukushika mkono.
Mwenye nacho huingezewa
 
Nimetoka Leo kwenye interview ya Anwani za makazi nitashare maswali kadhaa ninayokumbuka hapa yawasaidie wale ambao Bado hawajafanya usaili

1, Anwani za makazi na postikod ni nini?
2,Taja faida 5 za mfumo huu wa Anwani za makazi
3, kwanini mfumo wa Anwani za makazi unaonekana kuwa Bora kuliko mfumo wa posta ambao umeonekana kuleta usunbufu?

4, Ni lini Rais ameagiza zoezi hili la ukusanyaji Taarifa za ANWANI ZA MAKAZI kuwa limekamilika!?

5, Dunia Ina pande kuu nne lakn unaweza kuziweka na kueleza zifike nane au kumi na sita....chora dira ya pande nane za Duniani na kuziainisha.

6,taja aina 3 za Anwani zinazotumika ulimwenguni.
7, Mambo matatu ya KUZINGATIA unapoenda kukusanya Taarifa za ANWANI ZA MAKAZI na postikod.

8. Unaishi tarafa gani, halmashauri gani,Kata gani.

Taja jina la afisa tarafa wako,jina la Diwani wako,mtendaji WA kata,mtendaji WA mtaa.

Wakuu haya hapa ndio kadhaa nayakumbuka kwenye paper la interview leo... fanyien Kazi
Kwa haya maswali vichwa vingi vya kibongo havitoboi . Kwa hii nchi ya kupenda umbea na habari za udaku hapa hawatoboi[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom