Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
duh basi kazi nimekosaWakuu kama mada hapo juu.
Tumefika saa mbili lakini zoezi linaendelea hadi mda huu. Wanataka imei number na wamesisitiza hawataki simu za shangazi uje nayo leo na siku za kazi unakuja nq samsung yako s2.
Uhakika wa chaji kutunza ndio msingi wa zoezi
Hili zoezi linahusu nini zaidi na malipo yake je..?Wakuu kama mada hapo juu.
Tumefika saa mbili lakini zoezi linaendelea hadi mda huu. Wanataka imei number na wamesisitiza hawataki simu za shangazi uje nayo leo na siku za kazi unakuja nq samsung yako s2.
Uhakika wa chaji kutunza ndio msingi wa zoezi
elezea vizuri kwenye swala la simu. ya shangazi kivipi na samsung s2Wakuu kama mada hapo juu.
Tumefika saa mbili lakini zoezi linaendelea hadi mda huu. Wanataka imei number na wamesisitiza hawataki simu za shangazi uje nayo leo na siku za kazi unakuja nq samsung yako s2.
Uhakika wa chaji kutunza ndio msingi wa zoezi
wapi mleta mada kandika kuna kigezo cha samsung s2?Hicho kigezo cha samsung s2 ni cha kuwapunguza tu.....wengi wenu mnamiliki infinix na tecno 😂😂😂😂
Rudia kusomawapi mleta mada kandika kuna kigezo cha samsung s2?
Wanataka imei number na wamesisitiza hawataki simu za shangazi uje nayo leo na siku za kazi unakuja nq samsung yako s2. wapi kilipo kigezo cha samsung s2?Rudia kusoma
Njoo pmWanataka imei number na wamesisitiza hawataki simu za shangazi uje nayo leo na siku za kazi unakuja nq samsung yako s2. wapi kilipo kigezo cha samsung s2?
kazi ipoduh basi kazi nimekosa
ukisanyaji taarifa za anwani za makazi na postikodi. Malipo inategemea halimashauriHili zoezi linahusu nini zaidi na malipo yake je..?
Simu ya kuazima kwa ajili ya maonyesho ya usahili. Simu za Samsung hazitunzi chajielezea vizuri kwenye swala la simu. ya shangazi kivipi na samsung s2
Itakuwa mpo wachache sanaHuku moshi vijijin tunajipigia tu no competition at all
Hata simu yenye 1RAM inatumika tu kiroho safi
shukrani.Simu ya kuazima kwa ajili ya maonyesho ya usahili. Simu za Samsung hazitunzi chaji