HatariKwa wale wale ikiwa wataambiwa wapeleke imei number, ni bora wainakili kwenye karatasi mapema na kuliko kupiga *#06# ili kupata imei no. Kuna mtu simu yake kipindi amepiga hiyo number ikamletea imei na kipindi anaitaja simu iliganda kwa mda kabla ya kuambiwa UI system is not responding. Kwa hiyo aliambiwa apishe wengine kwani mda hautoshi. Tecno hizi basi tu ila sometimes zinaboa kwa kustaki staki wakati wa muhimu
Tecno sio ya kuiamini sana kwenye mambo seriousHatari
Niliwahi kutunza speech yangu huko nilikoma. Ikabidi nianze kupiga blah blah uongo na kweli ili kuzuga nikisibiria iwake lkn wapi.Tecno sio ya kuiamini sana kwenye mambo serious
Kwa wale wale ikiwa wataambiwa wapeleke imei number, ni bora wainakili kwenye karatasi mapema na kuliko kupiga *#06# ili kupata imei no. Kuna mtu simu yake kipindi amepiga hiyo number ikamletea imei na kipindi anaitaja simu iliganda kwa mda kabla ya kuambiwa UI system is not responding. Kwa hiyo aliambiwa apishe wengine kwani mda hautoshi. Tecno hizi basi tu ila sometimes zinaboa kwa kustaki staki wakati wa muhimu
ndio lakini pia kutaka kudhibiti ujanja ujanja wa kubadili simu. Umeenda kwenye interview na simu nzuri yenye uwezo wa kutunza chaji alafu kwenye kazi unakuja na kiswaswaduhapa kwenye imei wanazihitaji kwa ajili ya nini au ndio huchek specification ya sim yako
Wapi?Kemge hao wametuacha huku wenye simu nzuri[emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
ndio lakini pia kutaka kudhibiti ujanja ujanja wa kubadili simu. Umeenda kwenye interview na simu nzuri yenye uwezo wa kutunza chaji alafu kwenye kazi unakuja na kiswaswadu
Watoto wa maboss wengi hawanaga id ya kura.. Weka hilo kichwani ila watatoboa.. [emoji23][emoji23]guys kwa walioenda huko kwenye usahili, vipi kama huna kitambulisho cha kupuigia kura ndo imekula kwako au imekaaje hiyo ?
hahahhahahahhah kwana ina ulazima gan kitambulisho cha kura cha nini wakati mtu una namba ya kitambulisho cha taifaWatoto wa maboss wengi hawanaga id ya kura.. Weka hilo kichwani ila watatoboa.. [emoji23][emoji23]
share your experience here na wengine wa benefitWa ilala ndio tumetoka kupiga interview mida hii mnazi mmoja..
Writing interview only
Maswali 5.
boss, maswali yapo nondo au kawaisa tu?Wa ilala ndio tumetoka kupiga interview mida hii mnazi mmoja..
Writing interview only
Maswali 5.
Id ya mpiga kura haaihitajikihahahhahahahhah kwana ina ulazima gan kitambulisho cha kura cha nini wakati mtu una namba ya kitambulisho cha taifa
Kwenye ubao ea matangazo unamaelekezo ya vitu vya kuja navyo kwenye interview na mostly ni Smartphone na Vyeti halisiguys kwa walioenda huko kwenye usahili, vipi kama huna kitambulisho cha kupuigia kura ndo imekula kwako au imekaaje hiyo ?
Wanazingatia hilo kwani zoezi litahusika na ukasanyaji taarifa na kuzipandisha mtandaoni ndio maana wanataka simu nzuri supportive kwa shughuli hiyo.kwaiyo muhimu simu kuwa na uwezo mzuri wa charge kuka muda mrefu, na kwenye interview wanaangali au fuatilia kitu gani hasa
Eeeh huo uzalendo ni zaidi ya raia wa Ukraine walioshika silaha kwa kimkabili adui ambaye wanajua hawamwezi.Bora nyie mpo live.huku wilaya ya mkuranga deadline ilikuwa jana lakin kazi zilishaanza kimya kimya kwa watu maalumu na fomu nimepita zipo pale pale ofisini hazijapelekwa kokote.nimepata habari hao wamejitolea bure bila malipo.nchi ngumu sana hii.kazi za bure pia unaweza usipate kama huna mtu wa kukushika mkono.