Nipo Majuu huku, aisee watu weusi wa huku wana tabia za ajabu

Nipo Majuu huku, aisee watu weusi wa huku wana tabia za ajabu

Ukifika abroad mtu wa kuwa naye makini Sana NI mtu mweusi mwenzako kuliko mtu wa race nyingine
Wachache wataelewa
 
Kumbe wa Ethiopia nao tatizo😁😁 ila wadada sio wachafu ila wanawake wa kisomali wakat wa jua na yale maguo yao wanatioa hadi harufu.Kazi kujifukiza maudi
Na watoto wao sijui wana shida gani wamejaa makamasi puani kila siku
Hujakutana na msomali mwenye maisha mazuri!
 
Back
Top Bottom