Nipo Majuu huku, aisee watu weusi wa huku wana tabia za ajabu

Nipo Majuu huku, aisee watu weusi wa huku wana tabia za ajabu

At least hawaharibu miundombinu ya nchi
Huku kabla ya Brexit waliingia sana Eastern Europeans
Jamaa waizi balaa, na kwao ni njaa haswa
Walipoona maduka ya dhahabu display nje nje wakawa wanavunja asubuhi mbele ya watu
Waliiba mpaka cable za treni kama utaamini
Vifuniko vyingi vya mitaro walibeba mitaani
Huwezi kuamini kuna mama mmoja mzungu alisema amekaa huo mtaa miaka 70 hajawahi kuona sewer cover na drain covers zinaibiwa
Brexit ikapita wengi wakaondolewa
Wazungu wakasema bora sisi
Usikariri sehemu moja tu
Kweli wapo kula kulala weusi na wabwia unga na wenye malezi magumu kwa sababu ya community wanazioshi lakini wengi waliojitoa na kuishi kwingine wana maisha mazuri tu
Kwahiyo Mkuu, weusi wa huko nao ni wazee wa kula tunda kimasihara ndio maana wanazaliana sana?!
 
Kweli watu hatujui thamani yetu kwenye hii dunia...

Kwahiyo kisa tu mtu amefanya kazi akachukua pesa then kapotea eneo la kazi ndio hana akili?

Au kisa tu mtu amezaa sana ndio hana akili? By the way kuzaliana ni utimilifu wa neno kwa wale wapenda maandiko.

Anyway, ila comments nyingi sana za kwenye huu uzi hasa zile za kumdharau mtu mweusi zimenisikitisha sana, mtu anakwambia wakati mungu anamuumba mtu mweusi alikua amechoka 😆😆😆... hampo serious nyie jamaa.
 
Mafanikio yao makubwa nasehemu kubwa ilio zingatia nihuyu mtu akijitambua nihatari hivyo kwanguvu zote lazima huyu awe chini ya mfumo apangiwe nakukabidhiwa kutekeleza tuu.
Huyu ndio awe mteja mkuu.
Nahapo ndipo shetani alipomgiga bao mungu... na kweli blacks wameingia kwenye mfumo na mfano mzuri kwenye huu uzi ukisoma comments nyingi utaona kwamba watu wengi bado wanawaona whites kama viumbe venye akili sana.
 
Ukiona hivyo ujue blacks kuzaana na kuishi mtindo tunaoishi tunaongozwa na msukumo wa asili (nature) ili kukidhi hitaji la mfumo wa ulimwengu.

Ni sawa na nyumbu kuzaliana sana na kufanya makosa sana kiutendaji ili Simba, mamba na wanyama wengine walao nyama wapate mlo na waendelee kuwepo.
Mzee acha dharau.
So we black people are disposable?
 
Wakuu hii rangi imelaaniwa .

Nilikuwa najua black (Nigga) waliozaliwa marekani wapo tofauti na waswahili kumbe hamna.

Yaani kuna sehemu nafanya mchongo jamaa wakipewa hela hawarudi kazini kesho yake.

Then wanazaa balaa

Wakipewa nafasi za juu wanaharibu daah hii rangi inashida Sana
Mkuu si kwamba wewe ndo umefikia mitaa iliyolaaniwa kweli?😫
 
Kwahiyo Mkuu, weusi wa huko nao ni wazee wa kula tunda kimasihara ndio maana wanazaliana sana?!
Sio tu kula tunda bali hata elimu ni duni kwa watu weusi
Watoto hawasomi sana wala kusimamiwa
Naona ni kwa ajili ya societies wanazoishi, wamejikusanya baadhi ya sehemu mpaka unadhani upo Africa kabisa
Unaona dhiki kabisa usoni mwao
Hata sokoni kama home tu 😄 mihogo kibao

Angalia takwimu hizi ni uhalisia wa blacks 🇬🇧
Screenshot_20240913_063255_Google~2.png
 
Wenye shida wengi ni Gypsies, Waromania, Bulgarians, watu wa Poland wengi ni wachapa kazi sana. Ila wana mambo kama Afrika wanachukiana sana. Ila sio waharibifu sana, wapigaji kwenye benefits, takwimu unaweza kuzipata magereza, uhamiaji, mahakamani, council.

Hata weusi wengi middle and high class kutoka Africa wanafanya vizuri sana tu.
Wa kutoka Africa wanafanya vizuri kwenye ajira na crimes zao ni kama hakuna tu maana ni % ndogo sana
Ila kwenye elimu watoto hawasomi sana
 
Wakuu hii rangi imelaaniwa .

Nilikuwa najua black (Nigga) waliozaliwa marekani wapo tofauti na waswahili kumbe hamna.

Yaani kuna sehemu nafanya mchongo jamaa wakipewa hela hawarudi kazini kesho yake.

Then wanazaa balaa

Wakipewa nafasi za juu wanaharibu daah hii rangi inashida Sana
Kuna mmoja alipangisha kijumba chetu marekani yeye na familia yake yani kulipa ni kwa tabu kama tupo mbagala ,kila siku anakuja na story wakati watu tuna mikopo ya kulipa hovyo kabisa ngozi nyeusi
 
Back
Top Bottom