Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
🤠🤠🤠🤠
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kosa halikuwa kumchungulia utupu .Tuambie hizo sababu MTUMISHI
Au alimchungulia na kuona utupu wa Baba ake ?
Kosa halikuwa kumchungulia utupu .
Issue ni yale maneno ya urithi.
Alirithishwa utumwa.
Unajua ili uwe mtumwa lazima master wake akuzidi akili.
Hivyo lile neno liliharibu akili ya yule kijana na uzao wake mpaka mwisho wa Dunia
Hawa ni shida. Wamejaa Finland. Wana ubaguzi hatari. Yaani wakikuona mtu mweusi ambaye sio msomali wanapita mbali kabisaUkikutana na wasomali ndo utachoka!!
Basi shughuli imeishia hapo sasa kwanini watu wakatae kuwa tupo chini yao? Angalia tu hata katika kustarabika tumezidiwa.Kosa halikuwa kumchungulia utupu .
Issue ni yale maneno ya urithi.
Alirithishwa utumwa.
Unajua ili uwe mtumwa lazima master wake akuzidi akili.
Hivyo lile neno liliharibu akili ya yule kijana na uzao wake mpaka mwisho wa Dunia
Kwahiyo chanika kabisa?Nyimbo ya Jay Z inaitwa OJ kazungumzia mambo mengi
Anasema Leo hii MTU mweusi anaogopa kwenda kununua ardhi chanika kwakuwa ni mbali Ila siku zijazo hatoweza kununua Ila ataenda kupanga in such area.
So you can be black -and you can be poor or rich
as well you can be white you can be poor or rich
Add MYOB!Hit em up!
GTFOH!
😁😁
Wasomali siyo Wabantu, na wanajiona ni Waarabu lakini siyo Waarabu pia, ndio maana ni majitu ya hovyohovyo tu.Hawa ni shida. Wamejaa Finland. Wana ubaguzi hatari. Yaani wakikuona mtu mweusi ambaye sio msomali wanapita mbali kabisa
HAHAHAHAHHAAH eti hii rangi inashida sana!hahahahWakuu hii rangi imelaaniwa .
Nilikuwa najua black (Nigga) waliozaliwa marekani wapo tofauti na waswahili kumbe hamna.
Yaani kuna sehemu nafanya mchongo jamaa wakipewa hela hawarudi kazini kesho yake.
Then wanazaa balaa
Wakipewa nafasi za juu wanaharibu daah hii rangi inashida Sana
Majuu ndio wapi?
Noma sana😆Ukiona hivyo ujue blacks kuzaana na kuishi mtindo tunaoishi tunaongozwa na msukumo wa asili (nature) ili kukidhi hitaji la mfumo wa ulimwengu.
Ni sawa na nyumbu kuzaliana sana na kufanya makosa mengi kiutendaji ili Simba, mamba na wanyama wengine walao nyama wapate mlo na waendelee kuwepo.
Aliambiwa atakuwa mtumwa wa ndugu zake. Bahati mbaya Shem alikuwa ndiye mkubwa ila daaahh 😭 😭 😭 😭😊😊😊 kwahiyo MTU mweusi aliambiwaje mkuu ?
Watubague tu inaturahishia kukaa mbali na uchafu wao.Hawa ni shida. Wamejaa Finland. Wana ubaguzi hatari. Yaani wakikuona mtu mweusi ambaye sio msomali wanapita mbali kabisa
kituambacho umesahau ni kwamba hao unaowaona huko walitoka africa hao ni vijukuu na vitukuu wao,hawaza zaliwa na wazunguWakuu hii rangi imelaaniwa .
Nilikuwa najua black (Nigga) waliozaliwa marekani wapo tofauti na waswahili kumbe hamna.
Yaani kuna sehemu nafanya mchongo jamaa wakipewa hela hawarudi kazini kesho yake.
Then wanazaa balaa
Wakipewa nafasi za juu wanaharibu daah hii rangi inashida Sana