Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habarini Za wakati Huu Mabibi na Mabwana.
Takribani miezi mitatu sasa nimekua na mahusiano na binti flani,nimekua nje ya mahusiano kwa mda wa miak minne,wakati huo nikiwa najiweka sawa kwenye mambo mengne.Hivyo nilibahatika Kumpata Binti miezi mitatu
Mnaishi karibu au mikoa tofauti?[emoji40]Habarini Za wakati Huu Mabibi na Mabwana.
Takribani miezi mitatu sasa nimekua na mahusiano na binti flani,nimekua nje ya mahusiano kwa mda wa miak minne,wakati huo nikiwa najiweka sawa kwenye mambo mengne.Hivyo nilibahatika Kumpata Binti miezi mitatu iliyopita na mahusiano yetu kiujumla yalionesha Upendo uliopo si kwangu na hata na kwake pia.
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu[emoji119][emoji119]1. Ulikuwa unampa hela au ulikuwa umekalia kumjulia hali tu asubuhi na jioni?
2. Ulikuwa tayari ushamla?
3. Pengine amekinaishwa na uandishi wako huu:
apokei = hapokei
ajibu = hajibu
anijibu = hanijibu
uyu = huyu
akadah = akadai
ili = hili
Hata kama wewe ni Mhaya au Mkerewe, jibidishe sana utambue matumizi sahihi ya irabu na h- ambayo ni kikanushi katika Kiswahili na unapoiondoa wakati mwingine unapoteza maana kabisa. Pengine binti wa watu ulikuwa unamchanganya na ma sms yasiyoeleweka...[emoji1][emoji1][emoji1]
Labda awe na kichwa kigumu kuelewaAmerudiana na mtu wake wa zamani ambaye amedumu nae kwa muda mrefu akiwa anaongopewa akiudhiwa anakasilika wanaachana wanarudiana wanaachana wanarudiana
S
Ukisikia “Amempasua vipande vipande” basi ndio hii comment yako kama hatakuelewa hawezi elewa tena1. Ulikuwa unampa hela au ulikuwa umekalia kumjulia hali tu asubuhi na jioni?
We mwanamke wewe siku nikikushika utaita maji mma😂😂😂 na ntahakikisha neno “inatosha baba”umelitamka,”....“metosha vahba!”Ukiona hivo jua mahusiano yake mengine yanafanya vizuri.
Halafu hakupendi, kuchat na mtu usiyempenda haina raha kabisa, ni kero na ni usumbufu.
Hii ni kweli unamuuluzia hali yake utadhani mgonjwa kalazwa mwaiselaWanawake hawapendi watu soft and weak.
Mwenzako keshazoea anatongozwa leo kesho katinduliwa mpaka anashindwa kuamka wewe unakazana na umeamkaje, umelalaje, umeamkaje, umelalaje, umeamkaje, umelalaje.
Kama unataka mapenzi ya aina hiyo tongoza watoto wa form one.
Note: Ikimbie zinaa.
Yani JF ina makatili jamani😂😂😂 ukitaka kuwajua ni kwenye nyuzi za kupigwa chini watu wanakuchana kweri kweriii!Kuachwa Kuna njia mbili.
1.Jumla.
2.Rejareja.
Juu Ya Suala Lako Demu Katumia Njia Namba Mbili kukuacha.
Nimemaliza.
Kudadadeki zake 😂😂😂 mwanamke anataka aombwe gemu aliwe haraka iwezekanavyoHii ni kweli unamuuluzia hali yake utadhani mgonjwa kalazwa mwaisela
Hahahahah mwamba kapigwa chini kwa style kama ya kukimbia deni kitapeli😂😂😂Mkuu umegundua tatizo lako? Nahisi bado ngoja nikuchane.
Umekaa miaka minne bila mambo ya mapenzi na ulikuwa unafanya mbishe zako maisha yanasonga huna stress. Lakini ukaona ngoja ujiongezee stress kwa kuanza kupenda hovyo, ona sasa ndani ya miezi mitatu tu unaanza kuteswa na mapenzi.
Nakushauri achana na huyo manzi fanya mambo yako ya muhimu.