Nipo Mashakani, sidhani kama bado napendwa

Nipo Mashakani, sidhani kama bado napendwa

Habarini Za wakati Huu Mabibi na Mabwana.
Takribani miezi mitatu sasa nimekuwa na mahusiano na binti flani, nimekuwa nje ya mahusiano kwa muda wa miaka minne, wakati huo nikiwa najiweka sawa kwenye mambo mengine. Hivyo nilibahatika Kumpata Binti miezi mitatu iliyopita na mahusiano yetu kiujumla yalionesha Upendo uliopo si kwangu na hata na kwake pia.
Mbona mujibu unayo, yaani mambo yako wazi kabisaa.

Ushauri kwa kuwa anafanya hivyo, huyo binti lazima kuna sehemu amewekeza moyo wake. Cha kufanya na wewe kaa kimya kabisa WALA USIGOMBANE NAE, USIMGOMBEZE KABISA, USILALAMIKE, USIMTUMIE SMS ZA KUMLAUMU mpaka atakapokuja kukutafuta wewe, UKIISHI KI GENTLEMAN ni lazima atakutafuta tuu hata kama ni baada ya mwaka.

Akikutafuta utampima kama anakuja akiwa amejaa, akiwa hajajaa na we mpotezee kwanza, akijaa mbane kwenye kona zote, mtumie Barbara halafu achana nae, Ukifanya hivyo bila shaka ataanza kutumia ule msemo wao maarufu kuwa WANAUME WOTE NI MBWA TU 🤗🤗🤗. siku zote ukisikia mdada anasema hivyo we jua tu huyo ni miongoni mwa wale waliojidai wajanja halafu wakala chambo na ikawakamata vizuri kabisaa.

KWA SASA TAFUTA SEHEMU YA KULAZA MOYO WAKO.
 
Yaani ni mkuu ni kua wewe ndio ulikua unamtafuta kumjukia hali na kumuaga kila siku??
Humpi nafasi hata akumis kidogo na yeye ahangaike kukutafuta aisee hiyo inakera mkuu. Madem ndo wana tabia ya kumtafuta men hovyo hovyo wakipenda sasa we mwanaume kabisa unakua kiroboto kwa manzi lazma umkere tu mapema.

Cha kufanya apo we kausha hadi akutafute yeye tena kama status zake we view tu then unakausha. Huku ukiendelea na mchakato wa kutafuta kipoch manyoya kingine. Ila kama na wewe ndo wale wa nikipenda mmoja ni huyo huyo basi POLE mkuu.
 
Yaani ni mkuu ni kua wewe ndio ulikua unamtafuta kumjukia hali na kumuaga kila siku??
Humpi nafasi hata akumis kidogo na yeye ahangaike kukutafuta aisee hiyo inakera mkuu. Madem ndo wana tabia ya kumtafuta men hovyo hovyo wakipenda sasa we mwanaume kabisa unakua kiroboto kwa manzi lazma umkere tu mapema.

Cha kufanya apo we kausha hadi akutafute yeye tena kama status zake we view tu then unakausha. Huku ukiendelea na mchakato wa kutafuta kipoch manyoya kingine. Ila kama na wewe ndo wale wa nikipenda mmoja ni huyo huyo basi POLE mkuu.
atafute HELA
 
We mwanamke wewe siku nikikushika utaita maji mma[emoji23][emoji23][emoji23] na ntahakikisha neno “inatosha baba”umelitamka,”....“metosha vahba!”
Ha ha ha ha ha ha ha ha haki utakimbia.
Hebu pangeni kamechi kakirafiki rafiki kimasikhara sikhara hivi halafu mje mtupe mrejesho tuone nani alisarenda [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Mkuu 4years zimekufanya umekua dhaifu kuchanganua swala dogo kama Hili ..Achana na huyo kiande ...ongeza focus kwenye kutafuta hela na kulinda afya ..kwa faida ya baadaye
 
Habarini Za wakati Huu Mabibi na Mabwana.

Takribani miezi mitatu sasa nimekuwa na mahusiano na binti flani, nimekuwa nje ya mahusiano kwa muda wa miaka minne, wakati huo nikiwa najiweka sawa kwenye mambo mengine. Hivyo nilibahatika Kumpata Binti miezi mitatu iliyopita na mahusiano yetu kiujumla yalionesha Upendo uliopo si kwangu na hata na kwake pia.

Takribani mwezi Umepita kuna Tabia ilitokea kwa huyu Binti ndani ya muda wa Siku Kama tatu nilikuwa natimiza majukumu yangu katika mahusiano kama kumjulia khali Asubuhi na pia kumtakia Usiku Mwema na kujua ni Siku yake imeishaje lakini ndani ya siku kama tatu niliyatimiza haya ila hakunijibu Simu zangu. Siku Ya nne nilimpigia simu nikaongea nae akadai kwamba alikua anaumwa, nikamweleza angenipa taarifa ila kutokujibu wala Kupokea simu zangu si jambo jema. Tuliongea hayo yakaisha.

Tatizo lingine limejitokeza leo ni Takribani siku ya nne Nimejaribu kumpigia simu hapokei, namtumia sms anazipata lakini hajibu na whatsap pia namtumia na anazisoma na anaweka mpaka sTatus ila hanijibu.

Hivyo nilikua naomba Ushauri, nichukue hatua gani katika hili Suala.
Mwache mkuu stress za nini jiamini

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom