mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Tena utindue hasa kama sio wewe unamkazia sura kwenye show yeye ndo aseme basiKudadadeki zake 😂😂😂 mwanamke anataka aombwe gemu aliwe haraka iwezekanavyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena utindue hasa kama sio wewe unamkazia sura kwenye show yeye ndo aseme basiKudadadeki zake 😂😂😂 mwanamke anataka aombwe gemu aliwe haraka iwezekanavyo
Natumai mtoa mada akipita pita humu atajifunza kituTena utindue hasa kama sio wewe unamkazia sura kwenye show yeye ndo aseme basi
🤣Hii ni kweli unamuuluzia hali yake utadhani mgonjwa kalazwa mwaisela
Na ahakikishe anapiga ududu kisha anasepaWanawake wote hawa hebu ingia mitaani huko ukajichukulie Mali mpya .Ila uwe na vihela vya kuzugia.Huyo hakupendi .
Asipojifunza atakuwa mkaidi😄😄Natumai mtoa mada akipita pita humu atajifunza kitu
Upo sahihi sanaa mkuu, kuna demu wangu hua tunagombana haswaa ananambia ana move on naona kabisa kapata mtu ila nikirudi anytime hawezi kugoma kurudi kwangu ata iweje!Amerudiana na mtu wake wa zamani ambaye amedumu nae kwa muda mrefu akiwa anaongopewa akiudhiwa
unaichakata PAPUCHI vizuri mno
??? Hazikosi vocha.Simu za wanawake huwa hazikosi vocha,huyo amekutema tafuta mwingine
Ha ha ha ha ha ha ha ha haki utakimbia.We mwanamke wewe siku nikikushika utaita maji mma[emoji23][emoji23][emoji23] na ntahakikisha neno “inatosha baba”umelitamka,”....“metosha vahba!”
Ndio , Ukiona hujibiwi kisa vocha ni uongo??? Hazikosi vocha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]Kuachwa Kuna njia mbili.
1.Jumla.
2.Rejareja.
Juu Ya Suala Lako Demu Katumia Njia Namba Mbili kukuacha.
Nimemaliza.