Nipo mbioni kuanzisha Kozi Maalum ya Kuwafundisha Marais wa dunia namna ya Kuongea Points mbele ya Hadhira na siyo Pumba

Nipo mbioni kuanzisha Kozi Maalum ya Kuwafundisha Marais wa dunia namna ya Kuongea Points mbele ya Hadhira na siyo Pumba

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na gharama yake itakuwa ni Nafuu sana kwa kila Rais ila kutakuwa na Sharti Kubwa kidogo la Kwanza kutaka kuijua Elimu ya Rais husika, Chuo chake alichosoma na kama Alifaulu vyema huko kisha mwisho atapimwa Akili kama zinamtosha sawa sawa na pia kuangalia kama ama havuti Bangi au si Mlevi wa Pombe na Wines za Ulaya na Marekani.

ANGALIZO

Fursa hii murua ni kwa Marais wote wa Duniani na siyo wa nchi unayoijua Wewe, sasa Wewe Shoboka nikupe za Uso!!
 
Na gharama yake itakuwa ni Nafuu sana kwa kila Rais ila kutakuwa na Sharti Kubwa kidogo la Kwanza kutaka kuijua Elimu ya Rais husika, Chuo chake alichosoma na kama Alifaulu vyema huko kisha mwisho atapimwa Akili kama zinamtosha sawa sawa na pia kuangalia kama ama havuti Bangi au si Mlevi wa Pombe na Wines za Ulaya na Marekani.

ANGALIZO

Fursa hii murua ni kwa Marais wote wa Duniani na siyo wa nchi unayoijua Wewe, sasa Wewe Shoboka nikupe za Uso!!
Mimi bado sitaki kuamini washauri wake ndo walichomtuma aseme, itakua hata wao wamebaki kushangaa usiku mzima
"Ukimya Si Ujinga,,,na Kelele Si Werevu"
The problem of Africans is that those with power have no ideas, and those with ideas have no power.
 
Na gharama yake itakuwa ni Nafuu sana kwa kila Rais ila kutakuwa na Sharti Kubwa kidogo la Kwanza kutaka kuijua Elimu ya Rais husika, Chuo chake alichosoma na kama Alifaulu vyema huko kisha mwisho atapimwa Akili kama zinamtosha sawa sawa na pia kuangalia kama ama havuti Bangi au si Mlevi wa Pombe na Wines za Ulaya na Marekani.

ANGALIZO

Fursa hii murua ni kwa Marais wote wa Duniani na siyo wa nchi unayoijua Wewe, sasa Wewe Shoboka nikupe za Uso!!
gentleman,
si ungeanzisha kozi ya udereva tu ndio inafahamika ni taaluma yako na ingependeza zaidi...

vinginevyo,
hiyo kozi ya maraisi,
ukikutana na Rais wa manzese kwa mfano atamaliza kozi kweli bila ya kukutungia wimbo wa hip-hop?

Rais wa wasafi yule hana shida sana🐒
 
Kufundisha ni jambo moja, kuelewa sasa ndio kimbembe kingine. Kuna mtu ukimuangalia tu unajua moja kwa moja kuwa huyu ni dumb ass. Unaweza fundisha mpaka kwa kilugha lakini asikuelewe.

Uwezo wa mwanafunzi kuelewa moja kwa moja unapaswa kulingana na uwezo wake wa kufanya maamuzi binafsi tu ya kawaida. Ikiwa mtu anaesadikika kuwa na akili timamu halafu akaongea mambo mbele ya halaiki mpaka chizi akahoji basi moja kwa moja hapo huyo hafundishiki hata kwa mijeledi maana tayari ana utindio wa ubongo.

Kila la heri katika kukutana na vilaza wa kimataifa wenye madaraka.
 
Mimi bado sitaki kuamini washauri wake ndo walichomtuma aseme, itakua hata wao wamebaki kushangaa usiku mzima
Hapana, washauri wake wana ujasiri wa kumshauri chochote vile kwasababu wanajua upeo wake mdogo. Fikra na maamuzi yake yanategemea moja kwa moja fikra za wengine.

Uelewa wake duni unafanya kazi ya wapinzani wake (wa ndani) kuwa nyepesi kabisa katika kumpeleka kombo.

Nilisema awali na nitasema tena, nina yakini pasi na shaka safari yake itakoma rasmi 2025, atake asitake.
 
Na gharama yake itakuwa ni Nafuu sana kwa kila Rais ila kutakuwa na Sharti Kubwa kidogo la Kwanza kutaka kuijua Elimu ya Rais husika, Chuo chake alichosoma na kama Alifaulu vyema huko kisha mwisho atapimwa Akili kama zinamtosha sawa sawa na pia kuangalia kama ama havuti Bangi au si Mlevi wa Pombe na Wines za Ulaya na Marekani.

ANGALIZO

Fursa hii murua ni kwa Marais wote wa Duniani na siyo wa nchi unayoijua Wewe, sasa Wewe Shoboka nikupe za Uso!!
Naomba kazi ya ualimu kwenye chuo hicho....
 
Na gharama yake itakuwa ni Nafuu sana kwa kila Rais ila kutakuwa na Sharti Kubwa kidogo la Kwanza kutaka kuijua Elimu ya Rais husika, Chuo chake alichosoma na kama Alifaulu vyema huko kisha mwisho atapimwa Akili kama zinamtosha sawa sawa na pia kuangalia kama ama havuti Bangi au si Mlevi wa Pombe na Wines za Ulaya na Marekani.

ANGALIZO

Fursa hii murua ni kwa Marais wote wa Duniani na siyo wa nchi unayoijua Wewe, sasa Wewe Shoboka nikupe za Uso!!
Trump anauliza kutaka kujua gharama za kozi na huduma za hostel!
 
Back
Top Bottom