Nipo mbioni kuanzisha Kozi Maalum ya Kuwafundisha Marais wa dunia namna ya Kuongea Points mbele ya Hadhira na siyo Pumba

Nipo mbioni kuanzisha Kozi Maalum ya Kuwafundisha Marais wa dunia namna ya Kuongea Points mbele ya Hadhira na siyo Pumba

Nafikiri dawa siyo kuwasomesha sababu elimu ya siku hizi hata MTU awe na PhD hana msaada kwenye jamii sababu wengi hata hawajielewi. Ndio maana kila siku viongozi wanatafuta degree za heshima wakishaona hawawezi ku-lobby wazipate darasani.
Cha msingi ni kuhakikisha hatuwaweki uongozini wale ambao hawajitambui kwa kulinda kura na kupigia wanaostahili na wenye talanta ya uongozi
 
Nafikiri dawa siyo kuwasomesha sababu elimu ya siku hizi hata MTU awe na PhD hana msaada kwenye jamii sababu wengi hata hawajielewi. Ndio maana kila siku viongozi wanataguta degree za heshima wakishaona hawawezi ku-lobby wazipate darasani.
Cha msingi ni kuhakikisha hatuwaweki uongozini wale ambao hawajitambui kwa kulinda kura na kupigia wanaostahili na wenye talanta ya uongozi
"Changamoto kubwa zaidi iliyopo kwenye ulimwengu wa Sasa ni kwamba watu wenye akili nzuri hawataki kujihusisha na siasa, hivyo, wajinga na wasio na akili wamepewa mamlaka ya kuwatawala Watu wenye akili na watu wasio na akili."

Donald Trump.
 
Na gharama yake itakuwa ni Nafuu sana kwa kila Rais ila kutakuwa na Sharti Kubwa kidogo la Kwanza kutaka kuijua Elimu ya Rais husika, Chuo chake alichosoma na kama Alifaulu vyema huko kisha mwisho atapimwa Akili kama zinamtosha sawa sawa na pia kuangalia kama ama havuti Bangi au si Mlevi wa Pombe na Wines za Ulaya na Marekani.

ANGALIZO

Fursa hii murua ni kwa Marais wote wa Duniani na siyo wa nchi unayoijua Wewe, sasa Wewe Shoboka nikupe za Uso!!
Naijua hiyoo,

Nimependa sana hiki kigezo 'kwanza kutaka kujua elimu ya Rais husika, chuo chake alichosoma na km alifaulu vyema huko. Kisha atapimwa akili kama zinamtosha. 🤣🤣🤣
 
Na gharama yake itakuwa ni Nafuu sana kwa kila Rais ila kutakuwa na Sharti Kubwa kidogo la Kwanza kutaka kuijua Elimu ya Rais husika, Chuo chake alichosoma na kama Alifaulu vyema huko kisha mwisho atapimwa Akili kama zinamtosha sawa sawa na pia kuangalia kama ama havuti Bangi au si Mlevi wa Pombe na Wines za Ulaya na Marekani.

ANGALIZO

Fursa hii murua ni kwa Marais wote wa Duniani na siyo wa nchi unayoijua Wewe, sasa Wewe Shoboka nikupe za Uso!!
Fungua campus moja Magogoni nyingine Kizmkaz.
 
Kufundisha ni jambo moja, kuelewa sasa ndio kimbembe kingine. Kuna mtu ukimuangalia tu unajua moja kwa moja kuwa huyu ni dumb ass. Unaweza fundisha mpaka kwa kilugha lakini asikuelewe.

Uwezo wa mwanafunzi kuelewa moja kwa moja unapaswa kulingana na uwezo wake wa kufanya maamuzi binafsi tu ya kawaida. Ikiwa mtu anaesadikika kuwa na akili timamu halafu akaongea mambo mbele ya halaiki mpaka chizi akahoji basi moja kwa moja hapo huyo hafundishiki hata kwa mijeledi maana tayari ana utindio wa ubongo.

Kila la heri katika kukutana na vilaza wa kimataifa wenye madaraka.
Mkuu umenifanya Nicheke sana.
 
gentleman,
si ungeanzisha kozi ya udereva tu ndio inafahamika ni taaluma yako na ingependeza zaidi...

vinginevyo,
hiyo kozi ya maraisi,
ukikutana na Rais wa manzese kwa mfano atamaliza kozi kweli bila ya kukutungia wimbo wa hip-hop?

Rais wa wasafi yule hana shida sana🐒
Mbona huyu ana kudharau sanaa
Umemsoma lakini mwanangu

Ova
GENTAMYCINE
 
Lupaso asisamehewe kuungua na moto wa milele (kazi ya kutuletea makarani waliofeli masomo hii sisawa)

Msoga ,tunakuomba kashakosea sana na wewe usikosee Tena zaidi, hatutaki mje kuanza kuandika vitabu vya majuto pindi mnakaribia kufa....
 
Na gharama yake itakuwa ni Nafuu sana kwa kila Rais ila kutakuwa na Sharti Kubwa kidogo la Kwanza kutaka kuijua Elimu ya Rais husika, Chuo chake alichosoma na kama Alifaulu vyema huko kisha mwisho atapimwa Akili kama zinamtosha sawa sawa na pia kuangalia kama ama havuti Bangi au si Mlevi wa Pombe na Wines za Ulaya na Marekani.

ANGALIZO

Fursa hii murua ni kwa Marais wote wa Duniani na siyo wa nchi unayoijua Wewe, sasa Wewe Shoboka nikupe za Uso!!
kaka umesahau kama kimtokacho mtu ndicho alicho nacho huwezi kutoa madini wakati wee mwenyewe ni mweupe kichwani, nimeona wengine wameelekeza shutma kwa mwandishi wa hotuba, nadhani quality ya mtu inategemwa pia expossure na pia IQ binafsi, sidhani kama bimkubwa ana IQ ya kutosha maana anaweza hata akagonga show ambayo kimsingi hata watoto wa primary hawawezi maana ni aibu. Itoshe kusema pale tumepigwa pakubwa sana.
 
Back
Top Bottom