Nipo mbioni kuanzisha Kozi Maalum ya Kuwafundisha Marais wa dunia namna ya Kuongea Points mbele ya Hadhira na siyo Pumba

Nipo mbioni kuanzisha Kozi Maalum ya Kuwafundisha Marais wa dunia namna ya Kuongea Points mbele ya Hadhira na siyo Pumba

Mimi bado sitaki kuamini washauri wake ndo walichomtuma aseme, itakua hata wao wamebaki kushangaa usiku mzima
Sielewi hii mantiki ya jambo kusemwa na mtu mzima anayejitambua kisha lawama wapewe washauri wake.
Hiyo yote ni kutaka kukwepesha lawama kwa mtu anayezistahili.
Alichokisema ni mawazo yake na ndivyo alivyo.
 
Sielewi hii mantiki ya jambo kusemwa na mtu mzima anayejitambua kisha lawama wapewe washauri wake.
Hiyo yote ni kutaka kukwepesha lawama kwa mtu anayezistahili.
Alichokisema ni mawazo yake na ndivyo alivyo.
Nakubaliana nawe 100% Mkuu.
 
Sielewi hii mantiki ya jambo kusemwa na mtu mzima anayejitambua kisha lawama wapewe washauri wake.
Hiyo yote ni kutaka kukwepesha lawama kwa mtu anayezistahili.
Alichokisema ni mawazo yake na ndivyo alivyo.
Duh
 
Back
Top Bottom