Nipo mbioni kuanzisha Kozi Maalum ya Kuwafundisha Marais wa dunia namna ya Kuongea Points mbele ya Hadhira na siyo Pumba

Nafikiri dawa siyo kuwasomesha sababu elimu ya siku hizi hata MTU awe na PhD hana msaada kwenye jamii sababu wengi hata hawajielewi. Ndio maana kila siku viongozi wanatafuta degree za heshima wakishaona hawawezi ku-lobby wazipate darasani.
Cha msingi ni kuhakikisha hatuwaweki uongozini wale ambao hawajitambui kwa kulinda kura na kupigia wanaostahili na wenye talanta ya uongozi
 
"Changamoto kubwa zaidi iliyopo kwenye ulimwengu wa Sasa ni kwamba watu wenye akili nzuri hawataki kujihusisha na siasa, hivyo, wajinga na wasio na akili wamepewa mamlaka ya kuwatawala Watu wenye akili na watu wasio na akili."

Donald Trump.
 
Naijua hiyoo,

Nimependa sana hiki kigezo 'kwanza kutaka kujua elimu ya Rais husika, chuo chake alichosoma na km alifaulu vyema huko. Kisha atapimwa akili kama zinamtosha. 🤣🤣🤣
 
Fungua campus moja Magogoni nyingine Kizmkaz.
 
Mkuu umenifanya Nicheke sana.
 
Mbona huyu ana kudharau sanaa
Umemsoma lakini mwanangu

Ova
GENTAMYCINE
 
Lupaso asisamehewe kuungua na moto wa milele (kazi ya kutuletea makarani waliofeli masomo hii sisawa)

Msoga ,tunakuomba kashakosea sana na wewe usikosee Tena zaidi, hatutaki mje kuanza kuandika vitabu vya majuto pindi mnakaribia kufa....
 
kaka umesahau kama kimtokacho mtu ndicho alicho nacho huwezi kutoa madini wakati wee mwenyewe ni mweupe kichwani, nimeona wengine wameelekeza shutma kwa mwandishi wa hotuba, nadhani quality ya mtu inategemwa pia expossure na pia IQ binafsi, sidhani kama bimkubwa ana IQ ya kutosha maana anaweza hata akagonga show ambayo kimsingi hata watoto wa primary hawawezi maana ni aibu. Itoshe kusema pale tumepigwa pakubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…