Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Mimi nilipangiwa mamba, moshi vijijini, kabla sijafika huku nilifikiri ninaenda sehemu iliyoendelea kuliko zote Tanzani.. kutokana na sifa za mwana JF, Lwambo Makiadi, kwamba moshi ni kama ulaya.
1. Hakuna maji
2. Hakuna umeme
3. Hakuna mtandao wa simu au internet
4. Barabara ni mbovu kamaza ngombe
5. Hakuna watu...vijana wamelewa muda wote
6. Chakula hakuna
7. Mbunge ni kama hawana
 
Wanawake pia hakuna au wapo? Wote wanaume?
 
Usafiri wa shida, maji yanategemewa ya mvua??!!!, huu ni uongo uliotukuka. Ntwala hapana mvuto tu ila hayo mengine we ntoto umetuongopea
 
Sasa kama watu wa mtwara hawafanyi kazi wanapataje mahitaji yao? Kati ya mtwara na kanda ya ziwa wapi kuliko na watu wengi wanaoishi maisha magumu sana?
Umasikini wa Mikoa ya kusini unaweza kufananisha na kanda ya Ziwa ? kwa wastani kila familia kanda ya ziwa inamiliki ng'ombe 10 tofautisha na wanaomiliki ng'ombe 50,100,500 hadi 5000 kila kaya kanda ya ziwa hukosi Ox Plough mbili hadi tatu kwa hiyo nguvu kazi ya kilimo ni kubwa sn maeneo hayo hata huo mchele mnaokula huko sehemu kubwa unalimwa kanda za ziwa iwe Morogoro na wasukuma hao hao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…