Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

mtwara?? we!!
 
Wachq tu wanitusi lakini Huo ndio ukweli
Hawataki kuambiwa ukweli...wanachukia kuambiwa ukweli
Wanaume wa huku wavivu sana! Asubuhi unamkuta barazani kajifunga msuri anasubiri mbaazi zichanue akavune yani hawajishughulishi
 
Hahaaaa ila we jamaa utakuwa umeongeza chumvi ingawa sijaitembea sana Lindi Manispaa.
Umenikumbusha nilienda Tunduru, nipo katikati ya mji na bado mapori nayaona karibu. Ikabiidi nianze kuwapa story vijana wa pale kuhusu kufuga mbuzi!
 
Hawataki kuambiwa ukweli...wanachukia kuambiwa ukweli
Wanaume wa huku wavivu sana! Asubuhi unamkuta barazani kajifunga msuri anasubiri mbaazi zichanue akavune yani hawajishughulishi
Vibagarashia na mabaibui si ni mengi huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…