Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Tulia uko uko mzee mbn ata bahari uko ipo we imarish powerful πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwa tutake radhibwana Ntwaara baah. Yaan wewe uje kwetu hamuna hela mfikie loji za chee uanze kuisema ntwara etu.

Kwanza ukifika Dangote palee, msijute ukaja shuka nkindani unaiona bahari. Tena ukute bamvua sasa.

Nkanaledi sawa, si kama mwananyamala ama temeke enu huko.

Ukiingia njin sasa, ukaenda shangani una kula upepo wa bahari tu. Uje polisi mesi ama jeshini ni maupepo tuuuuuu. Unakunywa konyagi hata ulewi baaa.

Tunakula korosho asikwambie mtu, ngoja uanze pata shoo za mumeo ndo utaelewa zile bao nzitooo kama volkano.

Ntwala kuchereeee baaa.
 
Tena hata taka wahame huo mji

Bhaaaa🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila watu mna maneno
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dodoma kuna kuku watamu sana kwenye bar zao
 
Nikipata usafiri wangu ndo ntazoea! Usafiri shida sana huku boda boda unamtafuta kwa Tochi.. muda unamuhitaji akuwaishe Hahaha unampigia anakwambia yupo kwenye mashamba ya chunviπŸ˜„ yani ni vioja kuna siku hadi nililia
Hapa kwenye kulia!
 
Na mji kujaa waislam hawajui kupika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…