Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dada, mm naona huna pesa za kutosha, peaa unazo ila sio za kutosha!!
 
Umeshazoea purukushani za Kariakoo, Mbagala Rangi tatu, Tandika n.k wewe. Tulia upate New Experience ya Maisha.
 
Mikoa yote inafanana Tu kama Akili yako umeipanga izoee mazingira utaweza kuishi popote
Unataka uishi kama upo DAR hapo ni kujidanganya, TANZANIA bado Sana hasa Huko mikoani hata hiyo DAR nayo imechoka sanaa sioni utofauti na mikoani tu
Dar kuna fujo nyingi kuliko Mikoani. Fujo mojawapo ni watu kupanda daladala kwa kugombania hadi wengine wanakosa ustaarabu wanaingia ndani kupitia dirishani.
Mengine mtaongezea wazoefu wa hapo Bongo.
 
Wewe ndio mjinga wa mwisho, unatetea ujinga huu wa huo mkoa?. Huo mkoa umelaaniwa na watu wake ni wavivu sana ndio maana kila kitu kinakwama.
 
Wewe ndio mjinga wa mwisho, unatetea ujinga huu wa huo mkoa?. Huo mkoa umelaaniwa na watu wake ni wavivu sana ndio maana kila kitu kinakwama.
Asante😁
 
Tutumie picha ya kituo kikuu cha mabasi hapo mtwara mjini..
Mtwara sijafika nimeishia Lindi tu , ila kwa barabara ile inaonesha huko ni mbwinde huwezi kufananisha hata n Njombe/ Mafinga
Barabara ya Mtwara - Dar ni nzuri tu ila kuna baadhi ya sehemu kuna hitilafu kidogo haswa baada ya kuja hizi mvua za karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…