Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Barabara ya Mtwara - Dar ni nzuri tu ila kuna baadhi ya sehemu kuna hitilafu kidogo haswa baada ya kuja hizi mvua za karibuni
Inategemeana ni nzuri kulinganisha na ipi...
Mm nimeishia Lindi, kwa kweli kibara bara n chembamba mnoo, rafu baadhi ya maeneo
 
Acha kazi urudi dar si unaona raha kukaa dar
 
Ukiona mkoa watu wake wanavaa manguo marefu marefu na makobazi, jua hapo hamna kitu. Fanya utafiti utagundua. Muarabu ameharibu sana hiyo kanda ya huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…