Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Kusema mtwara maji shida kwamba wanategemea maji ya mvuo ni uongo

Usafiri kusema shida uongo usafiri mkubwa wa mtwara ni bodaboda popote unapo enda ni buku up buku jero kwa usafiri wa haraka

Viwanja vipo vingi sana ujatembea kuna leopard pili msimbati ukienda utatamni kwenda kila siku

Chakula kuwa shida ni uongo sema huna hela ni kweli vitu viko juu sana ila pesa yake kuipata sio ngumu kama unajua kutafuta pesa ila kama unategemea mshahara mtwara hapakufai toka

Kusema saa tatu watu hamna ni kweli watu wa mtwara wanapenda kutulia sana hasa nyakati za usiku mwisho saa moja kutokana na alshababu kuvamia wanaotoka msumbiji ndio maana now mtwara ukitaka kutembea tembea na batua ya utambulisho wa mtaa wako ukikutwa na polis usiku unabebwa kama ulivyo unahisiwa wewe ni alshababu so watu wanakaa majumbani kwasababu
Namuunga mkono kwenye bodaboda kuna siku basi la kwenda mbeya nusura liniache nilimpanga bosa aje anichukue nilikofikia shangani nampigia simu eti anajibu nimelala nikatoka mdogo mdogo sikukutana na boda hadi nilipokaribia makutano ya barabara ya kuelekea mkanaĺed na ile ya shangani.
Maisha mtwara ni ghali hasa kwa wale tufikao na kuondoka sijajua wenyeji

Pia mtwara kuna joto sana.
 
Kusema mtwara maji shida kwamba wanategemea maji ya mvuo ni uongo

Usafiri kusema shida uongo usafiri mkubwa wa mtwara ni bodaboda popote unapo enda ni buku up buku jero kwa usafiri wa haraka

Viwanja vipo vingi sana ujatembea kuna leopard pili msimbati ukienda utatamni kwenda kila siku

Chakula kuwa shida ni uongo sema huna hela ni kweli vitu viko juu sana ila pesa yake kuipata sio ngumu kama unajua kutafuta pesa ila kama unategemea mshahara mtwara hapakufai toka

Kusema saa tatu watu hamna ni kweli watu wa mtwara wanapenda kutulia sana hasa nyakati za usiku mwisho saa moja kutokana na alshababu kuvamia wanaotoka msumbiji ndio maana now mtwara ukitaka kutembea tembea na batua ya utambulisho wa mtaa wako ukikutwa na polis usiku unabebwa kama ulivyo unahisiwa wewe ni alshababu so watu wanakaa majumbani kwasababu
Kuna watu wa aina ya mleta mada wao wakiamua kukataa jambo wamelikataa.

Huyu anaonyesha tangu alipochaguliwa akafanye kazi mtwara akili yake tayari ilishakataa kwenda mtwara hata kabla hajagusa mtwara.

Hapo Kila kitu anachopitia anakiangalia kwa jicho la negativity. Mtu wa aina hii hawezi kuona Jema akiamua kukataa.

Kuna jamaa yeye hawapendi wachaga,ikatokea ametembelea Moshi,alikuwa anatukana Kila kitu na kukandia Kilimanjaro. Mtu anachukia hadi ukungu wa asubuhi eti haoni watu!!
 
Nikipata usafiri wangu ndo ntazoea! Usafiri shida sana huku boda boda unamtafuta kwa Toshiba.. muda unamuhitaji akuwaishe Hahaha unampigia anakwambia yupo kwenye mashamba ya chunvi😄 yani ni vioja kuna siku hadi nililia
Kumbe shida ni ukilaza wako. Unamtafuta kwa Toshiba. Toshiba ni nini?
 
Mtwara ingeishaga kuwa jiji kubwa siku nyingi tu, sijui ni kwa nini huo mji haukui wakati una vichocheo na mvuto wa kuwa jiji kubwa kusini mwa Tanzania
Miji ya kusini Umwinyi mwingi, unamkuta kijana mdogo asubuhi tu kakupigia msuli na kibaraghasia kavalia upande haendi kazini, unafikiri wateendeleaje bila kufanya kazi ?.. labda kwa sasa kuna wimbi la wahamiaji Wasukuma wafugaji huenda wakaiinua mikao hiyo watapolima na kuzalisha chakula kingi..
 
Noti za huko chakavu!!!

Niliendaga lindi, asee!!! Yaani noti ambayo hata konda wa daladala hapa dar ataikataa kule dukani eti inapokelewa, na chenchi unarudishiwa.

Miji ile sijui watu hawatembei, yaani hela zimechakaa maana yake mzunguko wa hela ni humo humo tu
Ukifika Lindi uendage Kuchele beach kwa Dr. Bora na ulale one night utanishukuru baadae
 
Hakuna s
Kuna watu wa aina ya mleta mada wao wakiamua kukataa jambo wamelikataa.

Huyu anaonyesha tangu alipochaguliwa akafanye kazi mtwara akili yake tayari ilishakataa kwenda mtwara hata kabla hajagusa mtwara.

Hapo Kila kitu anachopitia anakuangalia kwa jicho la negativity.

Kuna jamaa yeye hawapendi wachaga,ikatokea ametembelea Moshi,unaaambiwa alikuwa anatukana Kila siku na kukandia Kilimanjaro. Mtu anachukia hadi ukungu wa asubuhi eti haoni watu!!
sehemu mbaya.
 
Miji ya kusini Umwinyi mwingi, unamkuta kijana mdogo asubuhi tu kakupigia msuli na kibaraghasia kavalia upande haendi kazini, unafikiri wateendeleaje bila kufanya kazi ?.. labda kwa sasa kuna wimbi la wahamiaji Wasukuma wafugaji huenda wakaiinua mikao hiyo watapolima na kuzalisha chakula kingi..
hao mamwinyi ndio kikwazo cha maendeleo huko kusini mwa Tanzania, wabadilike waache uvivu
 
Kusema mtwara maji shida kwamba wanategemea maji ya mvuo ni uongo

Usafiri kusema shida uongo usafiri mkubwa wa mtwara ni bodaboda popote unapo enda ni buku up buku jero kwa usafiri wa haraka

Viwanja vipo vingi sana ujatembea kuna leopard pili msimbati ukienda utatamni kwenda kila siku

Chakula kuwa shida ni uongo sema huna hela ni kweli vitu viko juu sana ila pesa yake kuipata sio ngumu kama unajua kutafuta pesa ila kama unategemea mshahara mtwara hapakufai toka

Kusema saa tatu watu hamna ni kweli watu wa mtwara wanapenda kutulia sana hasa nyakati za usiku mwisho saa moja kutokana na alshababu kuvamia wanaotoka msumbiji ndio maana now mtwara ukitaka kutembea tembea na batua ya utambulisho wa mtaa wako ukikutwa na polis usiku unabebwa kama ulivyo unahisiwa wewe ni alshababu so watu wanakaa majumbani kwasababu
Mtwara Kuna shida kubwa ya maji na yote aliyosema mtoa mada ni ya ukweli mtupu labda kama wewe ni mzawa wa huko hizo kero unaziona ni sawa kwako
 
Hakuna s

sehemu mbaya.
Kwa sisi ambao tumetembea sehemu nyingi hii nchi,karibia Kila sehemu kunafanana fanana. Mabadiliko ni machache mno mkoa kwa mkoa. Na mtwara imepazidi sehemu nyingi tu siyo kubaya kihivyo.

Kuna dada yeye ametokea kupachukia Dodoma vibaya mno. Ukimsikia anavyopaponda Dodoma unaweza sema huko mahali ni kuzimu na wanaoishi huko ni mashetani.

Dodoma hii hii ambayo Kuna nyuzi kibao humu ndani zinapasifia Kuna/kumejengeka.
 
Back
Top Bottom