Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
kapita hapo koba kabana au Jeco pale
 
Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
umelala wapi, hizo ni changamoto za mikoa yote, mi nina uzoefu huko, na recommend sehemu njema za kulala, ni OLD BOMA HOTEL Home - The Old Boma Hotel, Mikindani, zingine check hapa https://www.tripadvisor.com/Hotels-g1047925-Mtwara. Night club njema jaribu kwanza Copa-Cobana, Leopard, Triple V baadaye utanishukuru, hiyo Shooters ni ya kwaida.
 
Usilaumu yalio tokea mtwara ujawai yasikia mkuu watu kukaa mpaka saa saba mtwara kwasasa uongo

Hukusikia watu wanakamatwa stend wakiwa na silaa?

Ukusikia kuchomwa kwa nyumba za watu usiku wakiwa watu wamelala wakijua ni wageni?

Mambo yanabadirika mkuu enzi za nyuma watu walikuwa wanafunga maduka saa sita mkesha wa mwaka mpya watu unawakuta njee kipindi cha mfungo watu walikuwa wanatembea usiku wakiimba kaswida now sio vyepesi mmeenda wakat mji upo kwenye machafuko lazima mpachukie
Now unaongea point, nadhani umepata picha sasa ya kitu kinachoongelewa kama ni hivyo sawa. Lakini kiujumla mambo ni mengi kuna mwingine haraka haraka atasema eti tunajikweza kwa standard hapana. Kama mimi ni Mtanzania wa kawaida mno nimetokea mkoa wa kimaskini Kigoma. Nimeishi Geita, Mwanza, Bukoba, Morogoro, Dar es salaam, Dodoma, Tabora kwa nini nije niuseme mkoa wa Mtwara. Ni simple logic kwamba kuna mambo ya Kweli

Mimi ni bachelor, huwezi amini nimespend kama miezi mitatu kupata mgahawa ambao una chakula atleast chenye ladha ya kusema hapa wanapika vizuri, hii imenipa picha ya moja kwa moja sema sio vitu vya kuongelea sababu vingine vitakera wenyeji. Ila kiukweli Mtwara ni mji wa kitofauti sana.
 
Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Mengi uliyoongea ni kweli na nimejionea.
 
Serikalini ifanye Nini??? Ama ikuelekeze hotel za hadhi yako zenye maji na chakula? Haujui Kama ndege zinashuka umeamua kupanda bus sio? Ama ulitaka usafiri wa kugombania Kama wa G/mboto?? Otherwise ni fursa hizo zitumie......
Hotel zipo kuna tiffan kuna naff beach hotel zipo nyingi za kutosha pesa yako tu kule ukijenga nyumba inalipa tofauti na kingine chumba cha bei nafuu 30k kwa mwezi na iko ni cha kawaida ila chumba standard ni kuanzia 50k na kuendelea tofauti na mbeya chuma kizur 20k
 
Kwetu sio mtwara ila hapo manispaa ukimuulizia nafahamika sana au nikutajie na watu wake katibu wako wa afya najua upo hapo hospital ya likombe bila shaka
Imebid nicheke tu, sasa kufahamika kwako huku kunahusiana na nn na huu uzi! Ila waty wa jf bana😄
 
Usafiri kusema shida uongo usafiri mkubwa wa mtwara ni bodaboda popote unapo enda ni buku up buku jero kwa usafiri wa haraka
kwa hiyo kutoka nanguruwe hadi mtwara mjini ni Buku/ unajua shida ya usafiri kwenye hiyo njia ya Newala tandahimba. unajua shida watu wa nanyamba wanayopata kwenda mjini? mtiniko je, au mnivata? au unajua shida ya watu wakitaja? unajuwa watu wa Litumbo hakuna hata bajaji wala daladala. mtwara sio pale mjini siju shangani au ligula tu
 
Now unaongea point, nadhani umepata picha sasa ya kitu kinachoongelewa kama ni hivyo sawa. Lakini kiujumla mambo ni mengi kuna mwingine haraka haraka atasema eti tunajikweza kwa standard hapana. Kama mimi ni Mtanzania wa kawaida mno nimetokea mkoa wa kimaskini Kigoma. Nimeishi Geita, Mwanza, Bukoba, Morogoro, Dar es salaam, Dodoma, Tabora kwa nini nije niuseme mkoa wa Mtwara. Ni simple logic kwamba kuna mambo ya Kweli

Mimi ni bachelor, huwezi amini nimespend kama miezi mitatu kupata mgahawa ambao una chakula atleast chenye ladha ya kusema hapa wanapika vizuri, hii imenipa picha ya moja kwa moja sema sio vitu vya kuongelea sababu vingine vitakera wenyeji. Ila kiukweli Mtwara ni mji wa kitofauti sana.
Mgahawa ukishame mgahawa kwa mtwara kupata chakula good ni ngumu kule mgahawa wanajua ni special kwa watu wa hali ya chini so wanapika kulingana na wateja wao

Fika pale mnarani sheli ukuta wa chuo uhuria kile pembeni kuna kihotel kidogo kwa maisha yako itakufaa wanapika good
 
Kaka hao hawako Mtwara, siku moja mimi niko shooters siku ya mwaka mpya eti nataka kutoa hela hamna vibanda vya Mpesa usiku saa7 ilinilazimu nitoke na boda 3k mpaka roundabout ya mnada wa mbuzi huku ndo nitoe hela maana haikuwa benki ilikuwa wenye simu. Yaani nilikuwa natukana njia nzima kudadeq Mtwara jau kinoma 😂
Unapata faida Gani kudanganya, wapi utakosa vibanda vya wakara wa pesa mtwara?.
 
Serikalini ifanye Nini??? Ama ikuelekeze hotel za hadhi yako zenye maji na chakula? Haujui Kama ndege zinashuka umeamua kupanda bus sio? Ama ulitaka usafiri wa kugombania Kama wa G/mboto?? Otherwise ni fursa hizo zitumie......
We mburura hapa yanazungumziwa maisha ya kawaida ya mtanzania..mambo ya hotel yamekuja vipi hapa!!
Serikali ijenge miuondombinu imara!
Soma uzi uuelewe sio unapayuka tu ku comment utumbo
 
kwa hiyo kutoka nanguruwe hadi mtwara mjini ni Buku/ unajua shida ya usafiri kwenye hiyo njia ya Newala tandahimba. unajua shida watu wa nanyamba wanayopata kwenda mjini? mtiniko je, au mnivata? au unajua shida ya watu wakitaja? unajuwa watu wa Litumbo hakuna hata bajaji wala daladala. mtwara sio pale mjini siju shangani au ligula tu
Mimi nimeongelea kwa upande wa mjini kutokana na mtoa mada kusema yupo mjini mkuu
 
Imebid nicheke tu, sasa kufahamika kwako huku kunahusiana na nn na huu uzi! Ila waty wa jf bana😄
Umeona kila kitu kwako unakichukulia negative nimejaribu kuongea kuonyesha tu napafahamu vizuri ilo tu ila wewe umechukulia upande wa negative kuwa najimwambafai sio ivyo boss
 
Mgahawa ukishame mgahawa kwa mtwara kupata chakula good ni ngumu kule mgahawa wanajua ni special kwa watu wa hali ya chini so wanapika kulingana na wateja wao

Fika pale mnarani sheli ukuta wa chuo uhuria kile pembeni kuna kihotel kidogo kwa maisha yako itakufaa wanapika good
Familia 🤝🏾🙏
 
Nikipata usafiri wangu ndo ntazoea! Usafiri shida sana huku boda boda unamtafuta kwa Tochi.. muda unamuhitaji akuwaishe Hahaha unampigia anakwambia yupo kwenye mashamba ya chunvi😄 yani ni vioja kuna siku hadi nililia
Wewe ni muongo sana sijui unapata faida ipi kuzusha habari labda lengo upate sifa za wapuuzi wenzio humu ndani
 
Back
Top Bottom