Mbagara ipi ambayo ni kama Mikindani Mtwara ya rangi tatu au kwa zakhimu?Mbagara ni kama jalala la mikindani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbagara ipi ambayo ni kama Mikindani Mtwara ya rangi tatu au kwa zakhimu?Mbagara ni kama jalala la mikindani
hakika mkuu wkt mwngne changamoto huwa ni fulsa,Jiongeze tuma korosho kuja dar upge miela utakuja kunishukuru uskae kama nyanya kweny tenga kama wenyeji sasa hapo ndy uoneshe utoto wako wa mjin dar unapga deal syo kulia
Nyumba ya khawa ghasia si inatai juu kwenye get lake? AuSasa uongo.wangu nini unataka nikutajie ofisi? Au nikupe nikambulisho siyo. Acha dharau hatujuani pita kule. Wakati Hawa Ghasia Amefiwa na mzee wake ulikuwepo tulipokwenda kuzika na polisi.
Anatetea kwao muache kama alivyo.. Anaongea kwa mihemko sana! li mtu linabisha vitu ambavyo ni fact kabisa!Sasa uongo.wangu nini unataka nikutajie ofisi? Au nikupe nikambulisho siyo. Acha dharau hatujuani pita kule. Wakati Hawa Ghasia Amefiwa na mzee wake ulikuwepo tulipokwenda kuzika na polisi.
Sawa ila ungefika mtwara 2007-2009 ungesemaje ambapo ulikuwa unasafir siku nzima na kipindi cha nyuma watu walikuwa wanalala njian kufika dar na usafiri mkubwa wa mtwara kwenda dar ilikuwa ni meri enzi hizo mlikuwepo?Anatetea kwao muache kama alivyo.. Anaongea kwa mihemko sana! li mtu linabisha vitu ambavyo ni fact kabisa!
Kulia kisa bodaboda hakuna amaNikipata usafiri wangu ndo ntazoea! Usafiri shida sana huku boda boda unamtafuta kwa Tochi.. muda unamuhitaji akuwaishe Hahaha unampigia anakwambia yupo kwenye mashamba ya chunvi😄 yani ni vioja kuna siku hadi nililia
Sasa we ukitaka Mtwara iwe sawa na Dar?Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.
Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."
Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.
Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!
Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.
Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
🤣🤣🤣Chakula kuwa shida ni uongo sema huna hela
We jamaa, anaongelea maisha ya kawaida ya Mtanzania, we nae jau tu. Sasa unategemea labda mimi nina kipato cha laki3 kwa mwezi nifike sehemu nichukue lodge ya 50k per day.Wewe ni Kapuku kama makapuku wengine.. ungekuwa na hela ungeenda Hotel.. Mtwara MANISPAA kuna Hotel nyingi tu na kila kitu kinapatikana kwenye hizo Hotel
Labda unisaidie mm naonekana muongoHapa nakuunga mkono, Mtwara ni katika mikoa ambayo naiona tofauti kabisa na mikoa yote niliyowahi kuishi. Sijawai kukaa mkoa wowote nikaona jau kama Mtwara, nilizani pekeyangu nasemaga hivyo kumbe tuko wengi. Mimi nina miezi kama 7 hivi nakomaa tu sababu ya kusaka Tonge lkn sio sehemu ya kuishi na kukaa na familia
Au ungo watu si wangekuwa wanakufa?
For sureAu ungo watu si wangekuwa wanakufa?
Mbona wengine wanishi framewerk mlizonazo ndizo zina watesaHapa nakuunga mkono, Mtwara ni katika mikoa ambayo naiona tofauti kabisa na mikoa yote niliyowahi kuishi. Sijawai kukaa mkoa wowote nikaona jau kama Mtwara, nilizani pekeyangu nasemaga hivyo kumbe tuko wengi. Mimi nina miezi kama 7 hivi nakomaa tu sababu ya kusaka Tonge lkn sio sehemu ya kuishi na kukaa na familia