Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Sasa uongo.wangu nini unataka nikutajie ofisi? Au nikupe nikambulisho siyo. Acha dharau hatujuani pita kule. Wakati Hawa Ghasia Amefiwa na mzee wake ulikuwepo tulipokwenda kuzika na polisi.
Nyumba ya khawa ghasia si inatai juu kwenye get lake? Au
Pili mimi sijakudharau ila kuna vitu umeviongea hapo sio kweli kwa 2012 up 2017 kulikuwa kushaanza changamka maji hayaku ya shida ivyo isipokuwa maji ya kunywa mtwara ni ya chumvi that why wana keep maji ya mvua
 
Sasa uongo.wangu nini unataka nikutajie ofisi? Au nikupe nikambulisho siyo. Acha dharau hatujuani pita kule. Wakati Hawa Ghasia Amefiwa na mzee wake ulikuwepo tulipokwenda kuzika na polisi.
Anatetea kwao muache kama alivyo.. Anaongea kwa mihemko sana! li mtu linabisha vitu ambavyo ni fact kabisa!
Haelewi hata na maana ya "uhaba" anapayuka tu ilahali hata huko kwako kapasusa!
 
Anatetea kwao muache kama alivyo.. Anaongea kwa mihemko sana! li mtu linabisha vitu ambavyo ni fact kabisa!
Sawa ila ungefika mtwara 2007-2009 ungesemaje ambapo ulikuwa unasafir siku nzima na kipindi cha nyuma watu walikuwa wanalala njian kufika dar na usafiri mkubwa wa mtwara kwenda dar ilikuwa ni meri enzi hizo mlikuwepo?

Ndio maana nimekwambia kuhusu changamato hizo ni changamoto za tz dar hakuna sehemu maji ni ya shida?

Dar hakuna sehemu usafir wake ni washida? Ushawai kaa mpigi?

Fact yako ni kwamba unapenda starehe na unataka sehemu za kujimwaga umeelekezwa ila kusema pabaya uongo

Ungepangiwa wilaya za ndani uko newela tandaimba sawa ila hapo mjini uongo

Kwetu sio mtwara ila hapo manispaa ukimuulizia nafahamika sana au nikutajie na watu wake katibu wako wa afya najua upo hapo hospital ya likombe bila shaka
 
Nikipata usafiri wangu ndo ntazoea! Usafiri shida sana huku boda boda unamtafuta kwa Tochi.. muda unamuhitaji akuwaishe Hahaha unampigia anakwambia yupo kwenye mashamba ya chunvi😄 yani ni vioja kuna siku hadi nililia
Kulia kisa bodaboda hakuna ama
 
Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Sasa we ukitaka Mtwara iwe sawa na Dar?
 
Wewe ni Kapuku kama makapuku wengine.. ungekuwa na hela ungeenda Hotel.. Mtwara MANISPAA kuna Hotel nyingi tu na kila kitu kinapatikana kwenye hizo Hotel
 
Hapa nakuunga mkono, Mtwara ni katika mikoa ambayo naiona tofauti kabisa na mikoa yote niliyowahi kuishi. Sijawai kukaa mkoa wowote nikaona jau kama Mtwara, nilizani pekeyangu nasemaga hivyo kumbe tuko wengi. Mimi nina miezi kama 7 hivi nakomaa tu sababu ya kusaka Tonge lkn sio sehemu ya kuishi na kukaa na familia
 
Wewe ni Kapuku kama makapuku wengine.. ungekuwa na hela ungeenda Hotel.. Mtwara MANISPAA kuna Hotel nyingi tu na kila kitu kinapatikana kwenye hizo Hotel
We jamaa, anaongelea maisha ya kawaida ya Mtanzania, we nae jau tu. Sasa unategemea labda mimi nina kipato cha laki3 kwa mwezi nifike sehemu nichukue lodge ya 50k per day.
 
Hapa nakuunga mkono, Mtwara ni katika mikoa ambayo naiona tofauti kabisa na mikoa yote niliyowahi kuishi. Sijawai kukaa mkoa wowote nikaona jau kama Mtwara, nilizani pekeyangu nasemaga hivyo kumbe tuko wengi. Mimi nina miezi kama 7 hivi nakomaa tu sababu ya kusaka Tonge lkn sio sehemu ya kuishi na kukaa na familia
Labda unisaidie mm naonekana muongo
 
Mwandiko wa kiume kabisa hu lakini mwandishi kaji address kama mwanamke; nipo njiapanda wallah, sijui nielewe lengo la uzi kuhusu Ntwara au nimuelewe mwenye uzi wake?
 
Wewe ni Kapuku kama makapuku wengine.. ungekuwa na hela ungeenda Hotel.. Mtwara MANISPAA kuna Hotel nyingi tu na kila kitu kinapatikana kwenye hizo Hotel
Jipige kifuani mara tatu halafu jiite mburura!
 
We jamaa, anaongelea maisha ya kawaida ya Mtanzania, we nae jau tu. Sasa unategemea labda mimi nina kipato cha laki3 kwa mwezi nifike sehemu nichukue lodge ya 50k per day.
Jamaa anachekesha sana😄
 
Hapa nakuunga mkono, Mtwara ni katika mikoa ambayo naiona tofauti kabisa na mikoa yote niliyowahi kuishi. Sijawai kukaa mkoa wowote nikaona jau kama Mtwara, nilizani pekeyangu nasemaga hivyo kumbe tuko wengi. Mimi nina miezi kama 7 hivi nakomaa tu sababu ya kusaka Tonge lkn sio sehemu ya kuishi na kukaa na familia
Mbona wengine wanishi framewerk mlizonazo ndizo zina watesa
 
Back
Top Bottom