PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Hata Huko mikoani kuna watu wanaishi kama wapo Beverly hillsInategemea Dar sehemu gani, kuna sehemu Dar watu wanaishi kama wapo Beverly Hills.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Huko mikoani kuna watu wanaishi kama wapo Beverly hillsInategemea Dar sehemu gani, kuna sehemu Dar watu wanaishi kama wapo Beverly Hills.
Kuwatia hamasa wakazane kwenye mbaazi na ufuta huku wanacheza zile ngona zao za kutembeleana migongoni kama mazuzu.Hata ikiwepo inasaidia nini?
Ama kweli ntu chakeNimekuelewa sana, ndomana nikawataka wanaoijua mtwara waje wakusogezee majibu ya hayo unayolalamika, hiyo mitaa niliyotaja ni full package, maji, umeme, usafiri, usalama, vituo vya afya in brief huduma zote za kijamii mtwara sio za kubabaisha, haswa hayo uliyoyalalamika ni kamba kabisa, mtwara maji ni mengi sana usafiri sio tatz kabsa..
Kabla sjafika mtwara nilkuwa nadhania ni sehem ya ovyo sana, na hata selection yang ilipotoka niende mtwara nilichukia sana.. but suddenly my hate turned into deep love with the city baada tu ya kukanyaga huo mji..
Kwa kiasi ila usiwastue wenye presha ya kupanda tu.Lengo unichekeshe🤣
hakika mkuu, hizo changamoto n fulsa sana ikiw t wat w huko s kama wala wa kgm kwa wagen,Ni kweli kazi ni kuzichangamkia
Aaahh noma kipenzi kule acha kabisa saa 12 kila mtu yupo ndani. Na kama ofisini kwake hana kampani ndiyo amekwisha kabisa aisee.Pole sana cute,kaza
ChunoMjomba mtwara gani unaizungumzia? Umefikia mkanared au chuno mkuu? Daaah umepiga kamba ndefu sana hapa🤣🤣🤣🤣
1.raha leo
2.shangani west
3.magomeni
4.sabasaba
5.posta
6.mbezi beach
7.shangani
8.
9.
Anayepajua mtwara aendelee kuitaja mitaa ya kishua hapo..
Mjomba mtwara gani hiyo miundo mbinu chenga? Dooooh nimesoma hapo miaka miwili mtwara ni mji mzuri sana sana sana tu kuna mitaa kibao bongo haingii kabsa kwa mitaa hiyo niliyoitaja
Duuuh pole sana miye kila Ijumaa nilikuwa narudi Dar, mapaka Mining nice basi la ijumaa wasiponiponiona walikiwa wananipigia simu leo huendi mjini.Kila kukicha ni afadhari ya jana
Hawezi kuamka morng kwenda sababa uyo now nasikia kuna soko jipya la chunohama huko chikingola. nenda kapange shangani au kule ilipo Hospitali ya rufaa. na kama unataka vitu bei rahis sokon sabasaba mbona full ti ma jodar kole kole feri kibao tu. au wewe umeajiriwa kada gan unalia lia . maji ya mvua kweli yanatumika
Wilayan swa ila sio mjiniMie nipo wilaya ya Newala huku umeme unaweza kukaa siku hadi tatu hujauona na hakuna taarifa yeyote. Maji hakuna wanategemea maji ya mvua kwenye visima kwakweli huu mkoa kama sio Tanzania kama huamini tembelea siku moja ujionee. Mkoa huu kuishi ni kazi sana serikali imeususa na hakuna wa kuitetea
Uongo bhna uhuu 2012 up 2017 unakumbuka machafuko ya gesi ulikuwepo?Nyamwi255 uliosema mengi ni ya ukweli, mimi nilikaq huko 2012 hadi 2017 aiseee. Nilikuchukia sana ila unda connection na watu miye Enzi zile ndizi hazikuwepo sana. Kwa hiyo zikifika wale wauzaji walikuwa wanaleta ofisini kwangu. Pia matunda hayakuwepo utafika sokoni unaona lipo tupu kabisa Zaidi ya samaki wakavi basi.
Alafu kuna kipindi hakuna chalula kingine zaidi unga wa mahindi, Michele, na ngano basiiii.
Umepanga wapi? wewe miye nilikuwa nakaa hapo Ligula B dakika 5 tuu mpaka ofisini kwangu.
Kwa kipindi hicho sehemu yangu ya kula marufu ilikuwa pale mnarani (roundabout)
Are you yuleyule? 🥴Aaahh noma kipenzi kule acha kabisa saa 12 kila mtu yupo ndani. Na kama ofisini kwake hana kampani ndiyo amekwisha kabisa aisee.
Sasa uongo.wangu nini unataka nikutajie ofisi? Au nikupe nikambulisho siyo. Acha dharau hatujuani pita kule. Wakati Hawa Ghasia Amefiwa na mzee wake ulikuwepo tulipokwenda kuzika na polisi.Uongo bhna uhuu 2012 up 2017 unakumbuka machafuko ya gesi ulikuwepo?
Yap yap yap alafu mbona ile namba vd sikupati. Nataka nikubless na vocha kipenzi sikupati .Are you yuleyule? 🥴