Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Mjomba mtwara gani unaizungumzia? Umefikia mkanared au chuno mkuu? Daaah umepiga kamba ndefu sana hapa🤣🤣🤣🤣
1.raha leo
2.shangani west
3.magomeni
4.sabasaba
5.posta
6.mbezi beach
7.shangani
8.
9.

Anayepajua mtwara aendelee kuitaja mitaa ya kishua hapo..
Mjomba mtwara gani hiyo miundo mbinu chenga? Dooooh nimesoma hapo miaka miwili mtwara ni mji mzuri sana sana sana tu kuna mitaa kibao bongo haingii kabsa kwa mitaa hiyo niliyoitaja
 
Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Mkiwa dar mkiambiwa Tz ni kubwa hamuelewi
 
hama huko chikingola. nenda kapange shangani au kule ilipo Hospitali ya rufaa. na kama unataka vitu bei rahis sokon sabasaba mbona full ti ma jodar kole kole feri kibao tu. au wewe umeajiriwa kada gan unalia lia . maji ya mvua kweli yanatumika
 
Mjomba mtwara gani unaizungumzia? Umefikia mkanared au chuno mkuu? Daaah umepiga kamba ndefu sana hapa🤣🤣🤣🤣
1.raha leo
2.shangani west
3.magomeni
4.sabasaba
5.posta
6.mbezi beach
7.shangani
8.
9.

Anayepajua mtwara aendelee kuitaja mitaa ya kishua hapo..
Mjomba mtwara gani hiyo miundo mbinu chenga? Dooooh nimesoma hapo miaka miwili mtwara ni mji mzuri sana sana sana tu kuna mitaa kibao bongo haingii kabsa kwa mitaa hiyo niliyoitaja
Huelewi hata kinachozungumziwa unandandia gari kwa mbele tyu
 
Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Mbona huwa tunaambiwa "Ntwara kuchele"?Kumbe ni urongo wa rejareja?
 
Vingi alivyosema ni uongo tatizo lake haijui mtwara na hajatembea, eti anasema hadi huduma za kifedha ni shida!. Huyu alikuja na dar es salaam yake kichwani
Unamuacha kwanza akishampata mmakonde mmoja ataisifia tu
 
Mie nipo wilaya ya Newala huku umeme unaweza kukaa siku hadi tatu hujauona na hakuna taarifa yeyote. Maji hakuna wanategemea maji ya mvua kwenye visima kwakweli huu mkoa kama sio Tanzania kama huamini tembelea siku moja ujionee. Mkoa huu kuishi ni kazi sana serikali imeususa na hakuna wa kuitetea
 
Nyamwi255 uliosema mengi ni ya ukweli, mimi nilikaq huko 2012 hadi 2017 aiseee. Nilikuchukia sana ila unda connection na watu miye Enzi zile ndizi hazikuwepo sana. Kwa hiyo zikifika wale wauzaji walikuwa wanaleta ofisini kwangu. Pia matunda hayakuwepo utafika sokoni unaona lipo tupu kabisa Zaidi ya samaki wakavi basi.
Alafu kuna kipindi hakuna chalula kingine zaidi unga wa mahindi, Michele, na ngano basiiii.
Umepanga wapi? wewe miye nilikuwa nakaa hapo Ligula B dakika 5 tuu mpaka ofisini kwangu.
Kwa kipindi hicho sehemu yangu ya kula marufu ilikuwa pale mnarani (roundabout)
 
Mie nipo wilaya ya Newala huku umeme unaweza kukaa siku hadi tatu hujauona na hakuna taarifa yeyote. Making wanategemea ya mvua kwenye kisima kwakweli huu mkoa kama sio Tanzania kama huamini tembelea siku moja ujionee
Dah pole sana😄
 
Huelewi hata kinachozungumziwa unandandia gari kwa mbele tyu
Nimekuelewa sana, ndomana nikawataka wanaoijua mtwara waje wakusogezee majibu ya hayo unayolalamika, hiyo mitaa niliyotaja ni full package, maji, umeme, usafiri, usalama, vituo vya afya in brief huduma zote za kijamii mtwara sio za kubabaisha, haswa hayo uliyoyalalamika ni kamba kabisa, mtwara maji ni mengi sana usafiri sio tatz kabsa..
Kabla sjafika mtwara nilkuwa nadhania ni sehem ya ovyo sana, na hata selection yang ilipotoka niende mtwara nilichukia sana.. but suddenly my hate turned into deep love with the city baada tu ya kukanyaga huo mji..
 
Nyamwi255 uliosema mengi ni ya ukweli, mimi nilikaq huko 2012 hadi 2017 aiseee. Nilikuchukia sana ila unda connection na watu miye Enzi zile ndizi hazikuwepo sana. Kwa hiyo zikifika wale wauzaji walikuwa wanaleta ofisini kwangu. Pia matunda hayakuwepo utafika sokoni unaona lipo tupu kabisa Zaidi ya samaki wakavi basi.
Alafu kuna kipindi hakuna chalula kingine zaidi unga wa mahindi, Michele, na ngano basiiii.
Umepanga wapi? wewe miye nilikuwa nakaa hapo Ligula B dakika 5 tuu mpaka ofisini kwangu.
Well said!
 
Back
Top Bottom