Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Nipo Mtwara, serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa. Nimepamiss Dar Es Salaam!

Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Jiongeze tuma korosho kuja dar upge miela utakuja kunishukuru uskae kama nyanya kweny tenga kama wenyeji sasa hapo ndy uoneshe utoto wako wa mjin dar unapga deal syo kulia
 
Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Ntwara kuchele😂😂😂😂😂
 
Tangu nifike Mtwara miezi kadhaa iliyopita, mambo ninayokutana nayo sikuyategemea kabisa. Picha inaanza wakati nakuja kuripoti, ile nafika bus stand ya Mkanaredi naambiwa hapa ndiyo Manispaa ya Mikindani na ndiyo mjini.

Sikuamini! Mr. akanitia moyo na kuniambia nitazoea mazingira. Nikasema, "Sawa, maadam ni mjini, kitu cha msingi ni huduma."


Tukachukua lodge (na lodge zenyewe maji hayatoki, wanategemea maji ya mvua... yani ni tafrani tupu!). To cut a long story short, maisha ya Mtwara ni magumu kwenye nyanja zote! Maji ni shida, bei ya vitu iko juu sana kuliko hata Dar es Salaam, na miundombinu hafifu inafanya usafiri kuwa wa tabu.

Huduma za kifedha ni chache na ziko mbali, yani kulala au kushinda njaa ukiwa na hela mfukoni ni kitu cha kawaida sana hapa!

Ikifika saa 3 usiku, barabarani ni nyeupe kabisa—huoni mtu, na maduka yanafungwa mapema. Viwanja vipo, lakini The Shooters ndicho kiwanja pekee nilichoelewa, na nikiwa hapo najihisi kama niko Dar es Salaam.

Serikali ni kama imeususa kabisa huu mkoa!
Nenda SPLASH, MSEMO, OXYGEN, nenda kapate urojo stendi ya zamani, nenda ferry ukale samaki acha kudanganya watu hapa, unless umemis michepuko yako, "waiyoooo, dobi dobi"
 
Nenda SPLASH, MSEMO, OXYGEN, nenda kapate urojo stendi ya zamani, nenda ferry ukale samaki acha kudanganya watu hapa, unless umemis michepuko yako, "waiyoooo, dobi dobi"
Huelewi nini inazungumziwa ww unapayuka tu
 
muda sina kazi yangu ina ni keep busy...
Jiongeze tuma korosho kuja dar upge miela utakuja kunishukuru uskae kama nyanya kweny tenga kama wenyeji sasa hapo ndy uoneshe utoto wako wa mjin dar unapga deal syo kulia
 
Noti za huko chakavu!!!

Niliendaga lindi, asee!!! Yaani noti ambayo hata konda wa daladala hapa dar ataikataa kule dukani eti inapokelewa, na chenchi unarudishiwa.

Miji ile sijui watu hawatembei, yaani hela zimechakaa maana yake mzunguko wa hela ni humo humo tu.

Yaani hata ukisimama katikati ya mji wa lindi, ukiamua kurusha jiwe kuelekea upande wowote litadondokea porini.

Yaani kamji kama kiberiti.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Inategemea unafanya kazi gani wengine kazi zetu hata siku kuu upo mzigoni..
Pole sana aisee sisi tulikuwa wengi familia tumeacha Dar, kwa hiyo km sijasafiri tunaenda kule Beach. Tenaa kipindi kile kabla hiyo Patoni ya kwenda msanga mkuu haijafika bado. Tunakula samaki tunarudi home.
 
Mjomba mtwara gani unaizungumzia? Umefikia mkanared au chuno mkuu? Daaah umepiga kamba ndefu sana hapa🤣🤣🤣🤣
1.raha leo
2.shangani west
3.magomeni
4.sabasaba
5.posta
6.mbezi beach
7.shangani
8.
9.

Anayepajua mtwara aendelee kuitaja mitaa ya kishua hapo..
Mjomba mtwara gani hiyo miundo mbinu chenga? Dooooh nimesoma hapo miaka miwili mtwara ni mji mzuri sana sana sana tu kuna mitaa kibao bongo haingii kabsa kwa mitaa hiyo niliyoitaja
Mbaye, mdenga namadi, likonde, Salem, ufukoni, railway, mangowela, California, Comoro
 
Nikipata usafiri wangu ndo ntazoea! Usafiri shida sana huku boda boda unamtafuta kwa Tochi.. muda unamuhitaji akuwaishe Hahaha unampigia anakwambia yupo kwenye mashamba ya chunvi😄 yani ni vioja kuna siku hadi nililia
Kuna siku Hadi unalilia? Nini hiyo unayoililia🤔🤔?
 
Mtwara ni sehemu poa sana,

Ni mji usio na stress, tumeishi hapo vzr kabisa a few years ago.

Ukienda huko na mentality za dar dar hutoboi. Mwanzo ni mgumu, cha msingi we pakubali tu napo patakukubali. Mambo ya kufanya hapo ni mengi sana na hizo changamoto ulizoziona zigeuze kuwa fursa.

Karibu sana Mtwara Kuchele!!

Pitia hapa pia

Sikutegemea kama Mtwara ina fursa kiasi hiki
 
Fursa ya kwanza ambayo nimeiona maduka ya dawa (pharmacy) ni ya kutafuta ..by the grace of God soon naichangamkia hii fursa
mkuu mungu akitujaalia uzma ntapend tuungane huko kuzchangamkia fulsa, ntakuja pm tuzungmze mana bdo cna mwenyej huk.
 
Noti za huko chakavu!!!

Niliendaga lindi, asee!!! Yaani noti ambayo hata konda wa daladala hapa dar ataikataa kule dukani eti inapokelewa, na chenchi unarudishiwa.

Miji ile sijui watu hawatembei, yaani hela zimechakaa maana yake mzunguko wa hela ni humo humo tu.

Yaani hata ukisimama katikati ya mji wa lindi, ukiamua kurusha jiwe kuelekea upande wowote litadondokea porini.

Yaani kamji kama kiberiti.
Samahani sana wadau, kwani humu Kuna walioleft group?!!!!! Mbona sielewi elewi!
 
Kusema kwamba hakuna chakula na usafiri ni uongo
Kama sio ke huyo basi atakuwa ameleft group.....ndiyo wenye mapozi ya kinyodonyodo hivi. Mlume ndago wa kweli hawezi kuongea ujinga kama huo. Mtwara sote tunaijua

Halafu ukionA mtu anaihusisha dar katika kuponda kwake mji flani basi jua kwamba hilo ni lishamba flani linatoka porini huko.

Hv pale alipotamka "Mr" mmemuelewaje huyu?!!
 
Back
Top Bottom