Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni wale wa ajira mpya wana wanza kununua gar kabla ya kuwekeza kwanza ana mawazo fulani hivi ya kijinga ata umuelekeze positive yeye yupo bise. Upande wa negative mda woteWewe ni muongo sana sijui unapata faida ipi kuzusha habari labda lengo upate sifa za wapuuzi wenzio humu ndani
Sasa nidanganye ili iweje kwani nalipwa au mpaka nikuletee post nilizopost Twitter kulalamikia mazingira ya Mtwara hata kabla ya kuona huu uzi. Ila nakuacha sababu tuko hapa kujenga sio kubomoaUnapata faida Gani kudanganya, wapi utakosa vibanda vya wakara wa pesa mtwara?.
Ndio tena zaman mm nakumbuka mzee alikuwa anatukatia tiket ya meli kwenda likizo mpaka dar au avizie usafir wa kazini kwao ukiwa unaenda dar anaomba nafasi tunapandasahv masaa nane tisa tu unafika. zaman ilikuwa balaa
Karibu upo manispaa?Familia 🤝🏾🙏
Embu soma uzi kwanza!uelewe main pointumelala wapi, hizo ni changamoto za mikoa yote, mi nina uzoefu huko, na recommend sehemu njema za kulala, ni OLD BOMA HOTEL Home - The Old Boma Hotel, Mikindani, zingine check hapa https://www.tripadvisor.com/Hotels-g1047925-Mtwara. Night club njema jaribu kwanza Copa-Cobana, Leopard, Triple V baadaye utanishukuru, hiyo Shooters ni ya kwaida.
Itakuwa unakosa mchanganyiko wa watu mbalimbaliMtwara ingeishaga kuwa jiji kubwa siku nyingi tu, sijui ni kwa nini huo mji haukui wakati una vichocheo na mvuto wa kuwa jiji kubwa kusini mwa Tanzania
Kubali kuelekezwa na penda kujifunza niambie sehemu gani nyingine nishawai sema napafahamu? Mtwara napafahamu nimeishi miaka mingi sana hapo up now kuna muda nafika mtwaraSawa ww kila sehemu unaijua. Its fine!
Sasa kama watu wa mtwara hawafanyi kazi wanapataje mahitaji yao? Kati ya mtwara na kanda ya ziwa wapi kuliko na watu wengi wanaoishi maisha magumu sana?Miji ya kusini Umwinyi mwingi, unamkuta kijana mdogo asubuhi tu kakupigia msuli na kibaraghasia kavalia upande haendi kazini, unafikiri wateendeleaje bila kufanya kazi ?.. labda kwa sasa kuna wimbi la wahamiaji Wasukuma wafugaji huenda wakaiinua mikao hiyo watapolima na kuzalisha chakula kingi..
Kipindi ambacho watu walikuwa wanalal darajani kwa mkapa kusubiri kivukoHuijui Mtwara ya miaka hiyo kabla ya daraja la Mkapa, Mtwara ya sasa iko juu sana na ina fursa ikiwemo korosho. Kulikuwa na mradi wa maji ya kutoka ndanda nafikiri ambayo si ya chumvi, usafiri kuja Dar ni kugusa tu.....unataka nini zaidi dada.
Nataka huduma za kijamii ziwe zinapatikna 24/7Huijui Mtwara ya miaka hiyo kabla ya daraja la Mkapa, Mtwara ya sasa iko juu sana na ina fursa ikiwemo korosho. Kulikuwa na mradi wa maji ya kutoka ndanda nafikiri ambayo si ya chumvi, usafiri kuja Dar ni kugusa tu.....unataka nini zaidi dada.
Kwa maelezo yake nahisi kama sio yupo zahanati ya mikindani sijuiHapo kweli nampinga sababu boda huku wapo wengi na ndio usafiri mama, labda sijui mazingira aliyopo maana mimi niko maeneo ya Majengo Stend ya Zamani huku Chikongola
Mikoa yake iyo Lindi na MtwaraMtafute ndege JOHN akupe mbili tatu za huko.
Mkuj usiniite malaya pls ..sina muda wa kulumbana na ww! Unawaa aibisha wanaume wenzio..kunitukana pls usinitukane tubishane kwa hoja..okHuyo malaya ni muongo mno kwasababu yote aliyoyaandika ni uongo eti bodaboda wanakuwa kwenye mashamba ya chunvi....
Hajui huyu, kipindi hicho ndo watu walikuwa wanapelekwa Mtawara kama adhabu.....siyo leo mtawara imekuwa sebuleni tu hapo.Kipindi ambacho watu walikuwa wanalal darajani kwa mkapa kusubiri kivuko
Hauna hoja yoyote ile yaani nikuache unapotosha ?Mkuj usiniite malaya pls ..sina muda wa kulumbana na ww! Unawaa aibisha wanaume wenzio..kunitukana pls usinitukane tubishane kwa hoja..ok
Ww utanifunza nini bablai!!Kubali kuelekezwa na penda kujifunza niambie sehemu gani nyingine nishawai sema napafahamu? Mtwara napafahamu nimeishi miaka mingi sana hapo up now kuna muda nafika mtwara