Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa 🤣🤣By nature we ni commedian
Wote wapo njema sana..😊Mmmh,wakikua wataeilewa tu Tanzania yetu😅😅😅.......Team haijambo lkn?
Wako wapi kina Nikifa MkeWangu Asiolewe au? Na waze3 wa hovyo wanaoukula ulanzi asubuhi asubuhi kina MENEMENE TEKERI NA PERESI
Kijana anataka kazi ya TISs nikamwambia atafute wazee wa jf wenye vipato juu ya milion 8 kwa wiki. Nikapendekeza akutafute wewe na president mumsaidieMkuu kulikoni Tena ?
Kama ataweza awe bodyguard wangu maana mwakani natia Nia na kuchukua form kabisaKijana anataka kazi ya TISs nikamwambia atafute wazee wa jf wenye vipato juu ya milion 8 kwa wiki. Nikapendekeza akutafute wewe na president mumsaidie
Hahaaa..Kuhusu ELIMU nimesoma hadi shahada Ila Mimi naamini katika uwezo binafsi wa kujijenga.
Pia Mimi naamini katika falsafa ya kuendelea kuwa mwanafunzi kila siku ndo njia yakuendelea kuwa bora.
😂😂😂😂 wallah jf nzuriKirahisi hvo?
Ebu ntumie ratiba ya SGR dar Moro Leo
Welcome JF😂😂😂😂 wallah jf nzuri
Ukihitajika Utaitwa. Ukimulikwa utaonwa.Wakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.
I hold this qualifications.
Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.
Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya.
Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.
Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.
Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
😂😂😂😂😂😂😂Mkuu kwenye lile Pdf la Viongozi wa TANU Babu yako alikuwemo?
Bora, wewe umeamua kufunguka kabisa mwenzio,Kila ninapoishi watu wananishuku ni usalama wa taifa kisa eti muonekano wangu,nachukia sana,maana ni kazi ambayo ipo moyoni mwangu Lakini naishia tu kuogopwa na Wana kumbe hakuna lolote daaah wenye mamlaka mko wapWakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.
I hold this qualifications.
Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.
Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya.
Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.
Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.
Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
Subiri kazi zipo nyingi tu,Kuna utendaji wa kata vigezo ni hivyo hivyo,ubalozi wa nyumba kumi kumi,zote zitakuwezesha kuwa karibu na serikali nakushona kaunda suti...Mwisho;jitahidi kuanza kilimo cha bustani na mbogamboga upate pesa ya kujikimu Inaonekana unapenda Raha maisha siyo marahisi kihivyoWakuu ninahitaji Sana kuwa usalama wa Taifa.
I hold this qualifications.
Mimi ni very humble na Mkimya na nina uwezo wa kutunza siri Sana.
Nina uwezo wa kufanya intelijensia kujua huyu MTU ni mzuri au Mbaya.
Nipo visionary - nina upeo mkubwa na maono wa kupangilia mambo yajayo kuhusu nchi na raia wake.
Sina EGO - kujikweza nina heshimu kila MTU na kuweza kuishi na WATU vizuri sio rahisi mtu anifahamu kiundani.
Najua hapa jukwaani kuna viongozi wakubwa naimani watanishika mkono ili nikatumie hazina yangu katika kuisaidia nchi yangu TANZANIA
Connection inamata lakin sio Kila wakati, mm mwenyewe Babu yetu alishawahi kuwa mkurugenzi kabisa katika hiyo idara mbona tupo tunaishia kudhaniwa😂😂😂😂Mbona mim nimepata ila sisemi, lakin sikuomba na sikuwa na konekshen wala nn
Unajua vetting changamoto yake ni wanaotafuta taarifa zako hawakupi nafasi wewe kutolea ufafanuzi baadhi mambo ndiomana wengi wanakosa unakutana na Wana wanakusiribia kinoma😂😂😂😂Mimi sio mjuzi sana wa hii kada Ila jitahidi sifa hizi unazo orodhesha ndio hizo hizo watu wako wa karibu wanaweza kuzisema kuhusu wewe.
Jitahidi watu wako wa karibu wajue taarifa zako muhimu kuhusu wewe, marafiki zako waweze kusema mazuri kuhusu wewe, marafiki wa wazazi wako waweze kutoa taarifa sahahi kuhusu wewe.
maana itatokea huenda mathalani wamependa ujasiri wako Ila taarifa zako zikawa na mkanganyiko au watu wako wa karibu wakaleta ushirikiano hafifu na taarifa zisizo endana ukakosha kazi unayo ipenda.