Nipo nasikiliza kipindi cha watoto, kuna mtoto kaimba wimbo wa Fire wa Zuchu

Nipo nasikiliza kipindi cha watoto, kuna mtoto kaimba wimbo wa Fire wa Zuchu

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438
Ni hizi redio za mikoani kwenye kipindi cha watoto, leo kwenye kipengele cha vipaji kuna katoto kameimba huu wimbo, kamekariri vizuri kabisa.
 
Si mnawasikilizisha majumbani mwenu?

Enzi zetu redio inawashwa baba akiwepo tuu, na tv kama ipo basi remote anashika baba au mama, na kama kuna kipindi wakubwa wanataka kuangalia watoto mnafukuzwa.

Kwa dunia ya sasa ni ngumu kufanya ivo, lakini kuna kitu kinaitwa "Parental Control" kwenye teknolojia ya sasa. Wazazi wengi wa Kiafrika hiki kitu hawakizingatii, ila wenzetu wazungu wako strict ile mbaya.
 
Zuchu anaharibu Sana watoto wetu. Yaan unakuta kitoto cha miaka mi3 kinaimba nyimbo yake nzima bila kukosea hata neno.

Ajitahidi kuandika mashahiri rafiki kwa watoto pia maana wengi wanazipenda nyimbo zake.
 
Si mnawasikilizisha majumbani mwenu?

Enzi zetu redio inawashwa baba akiwepo tuu, na tv kama ipo basi remote anashika baba au mama, na kama kuna kipindi wakubwa wanataka kuangalia watoto mnafukuzwa.

Kwa dunia ya sasa ni ngumu kufanya ivo, lakini kuna kitu kinaitwa "Parental Control" kwenye teknolojia ya sasa. Wazazi wengi wa Kiafrika hiki kitu hawakizingatii, ila wenzetu wazungu wako strict ile mbaya.
Nikafkiri enzi zile TV hazina hata remote na channel ni hio hio moja. Kwa zanzibar ilikuwa TVZ [emoji23]
 
Zuchu anaharibu Sana watoto wetu. Yaan unakuta kitoto cha miaka mi3 kinaimba nyimbo yake nzima bila kukosea hata neno.

Ajitahidi kuandika mashahiri rafiki kwa watoto pia maana wengi wanazipenda nyimbo zake.

Tatizo linaanza kwa wazee, munaanzaje kuruhusu watoto kusikiliza nyimbo zenye maudhui ya ovyo?
 
Back
Top Bottom