Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Jamani pole mpendwa..may her soul rest in peace...Kiasi Fulani Babu...
Nimezika mama mzazi๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani pole mpendwa..may her soul rest in peace...Kiasi Fulani Babu...
Nimezika mama mzazi๐
Kumbe mahari Siku hizi inapangwa na muolewaji?
Hongera sana Binti ๐๐๐๐
Anaye stahiili kupewa mahari ni kuolewaji hii ni kwa mujibu wa dini ya kiislamuIlikuwa inapangwa na Wazee wa binti muolewaji. Yeye anapewa taarifa tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shauli yenu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] endelea kuota Dogo,Wewe nipo dasalam nakula maisha kama hutaki basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema huku hili joto litanishinda
Nadhani taratibu zinatofautiana kutoka jamii Moja hadi nyingine.Anaye stahiili kupewa mahari ni kuolewaji hii ni kwa mujibu wa dini ya kiislamu
Muolewawaji huseama mahari anayotaka muoaji aitoe.
Muolewaji anaweza kukawapa fungu la mahari aliyotolewa (hii ni hiari)
Hujambo Mjukuu mbishi ๐Jamani pole mpendwa..may her soul rest in peace...
Huo ujukuu kwangu nehi nehi...niite ma mdogo..hahahaHujambo Mjukuu mbishi ๐
Kwa waislamu wanaofanya hivo wanakiuka Sheria na taratibu za dini zinavosema.Nadhani taratibu zinatofautiana kutoka jamii Moja hadi nyingine.
Wakati naenda Kuoa, Wazee wa Mke wangu ndiyo walikaa kunipangia mahari ya kutoa.
Na Mimi sikupewa moja Kwa Moja isipokuwa Mshenga wangu ndiyo alipewa Kwa niaba yangu.
Then ile mahari ilitumika kumfanyia Wife send off pamoja na masafirisho ya mizigo maana alipewa zawadi nyingi Siku ya harusi yake
Hahaha...........niamkie kwanza Mjukuu, leo nina zawadi yako nzuri ukiniamkia ๐Huo ujukuu kwangu nehi nehi...niite ma mdogo..hahaha
Ahahahahaha hiyo zawadi kampe kajukuu kako kamoja kule selfika... ๐ ๐Hahaha...........niamkie kwanza Mjukuu, leo nina zawadi yako nzuri ukiniamkia ๐
Kuhusu Waislamu sifahamu sana, ina maana hakuna Wazee wanaopokea mahari Kwa niaba ya Binti?Kwa waislamu wanaofanya hivo wanakiuka Sheria na taratibu za dini zinavosema.
Nisijue madhehebu mengine wanafanyaje.
Tunapoelekea takuvunjia heshima sis ๐๐๐๐๐๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] endelea kuota Dogo,
Dsm utaisikia kwa radio had ujute, poleeee
Sifahamu kwa madhehebu mengine inakuwaje, siwezi kulisemea Hilo.Kuhusu Waislamu sifahamu sanaina maana hakuna Wazee wanaopokea mahari Kwa niaba ya Binti?
halafu huyu boya ndo alitaka amfaidi peke yake!๐ณ๐ณ
Kura imekuangukia wewe ujue ๐Ahahahahaha hiyo zawadi kampe kajukuu kako kamoja kule selfika... ๐ ๐
Asante Kwa maarifa, leo nimejua kitu kipya upande huo ๐๐Sifahamu kwa madhehebu mengine inakuwaje, siwezi kulisemea Hilo.
We Muslim ndo tunatakiwa kufanya vile...japo Kuna wanaokiuka kwa tamaa zao.
Yani ww bana hahahah yani umekuja na gia ya uzee hutaki usumbufu kutoka kwa wadangaji humu...hahahahahhaa ๐ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃKura imekuangukia wewe ujue ๐
Halafu nipe shikamoo yangu Mjukuu kabla sijakupa adhabu ya kuniletea Kiko Kila Mwezi ๐ ๐ค
Hivi huamini kama nimeenda age?Yani ww bana hahahah yani umekuja na gia ya uzee hutaki usumbufu kutoka kwa wadangaji humu...hahahahahhaa ๐ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ