Nipo nawaza...

Nipo nawaza...

Asante
Ni wiki ya 2 now
Nimeanza kumuuguza Feb katikati ndo maana humu nilipotea.
So napitia trauma 🙁 kumbe sio rahisi.
Nitakuja inbox
Pole sana Mjukuu, nafahamu machungu unayopitia.

Ni maombi yangu, Mungu akupe ujasiri wa kuendelea kustahimili mapito unayopitia.

Karibu 🙏
 
Basi nimeshiba zangu hapa ndizi nyama, nina GB za kutosha, uhakika wa kula mpaka keshokutwa ninao., Basi hii ikanifanya hisia Zangu kwenda mbali zaidi.
Nipo nawaza na kuwazua kwanini tuwapo safarini Ile hali amazing ( Ooh.. my.. God!!)haikai kwa muda mrefu!!! Ujue ingekaa angalau hata sekunde 120 ungekuwa unyama.
Mimi Huwa inalast to 15-25sec

Anyways Jana metolewa mahari nusu., mahari iliyobakia ameahidi kumalizia at the end of this month (by the grace of God)
Na hapo ndipo tarehe ya harusi itapopangwa.
Mahali nilimwambia anipe 10M YEYE akasema atanipa 7M.
Ni hayo..
Una kuja kwa kasi sana ume amua kumrith Unique Flower au katoto kazuri kwa kuandika upupu daily
 
Back
Top Bottom