Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,601
- 1,172
Kama uzi unavyojieleza. Salam! Wana jf.. Najua Kuna watu wamenizidi umri humu bas shikamooni
Kwanza kabisa mi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa 3 na wa mwisho, nilipanga mwaka wa 3 nianze kufuga kuku ili wa nisaidie apo mbeleni katika pesa nazopata za kujikimu (boom).
Ni kweli pesa za awam ya kwanza nilinibana Sana Nika tenga laki mbili nikaanzisha mradi wa kuku Kwa bahat Mbaya wale kuku walikufa wote,
Sasa nimepata tena laki mbili zingine wakuu na mda unazidi kusonga Sana Saiv ni January mwezi wa 7 namaliza chuo nikiwaza tena kununua kuku nawaza jinsi awam ya kwanza ilivyokua japo siwez kusema watakufa tena ila wasi wasi ni muhim maana mimi ni mwanadam
Nishaurini je nirudie tena kwenye kuku kule kule au nifuge mfugo gani ambao naweza kupata faida ndani ya miez 7?
Nb. Kuku awam ya kwanza niliwapa dawa, za aina yote ila yakatokea hayo niliyoleza apo juu..
Kiukweli lengo langu mwezi wa wa 8 mwaka Huu Mungu akipenda nipate mtaji ambao utatokana na uwekezaji huo mtakao nishauri kama nilivo Omba apo juu
Asante Sana kwa watakaonisaidia Kwa mawazo Mazuri yenye kunijenga asanteni.!
Kwanza kabisa mi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa 3 na wa mwisho, nilipanga mwaka wa 3 nianze kufuga kuku ili wa nisaidie apo mbeleni katika pesa nazopata za kujikimu (boom).
Ni kweli pesa za awam ya kwanza nilinibana Sana Nika tenga laki mbili nikaanzisha mradi wa kuku Kwa bahat Mbaya wale kuku walikufa wote,
Sasa nimepata tena laki mbili zingine wakuu na mda unazidi kusonga Sana Saiv ni January mwezi wa 7 namaliza chuo nikiwaza tena kununua kuku nawaza jinsi awam ya kwanza ilivyokua japo siwez kusema watakufa tena ila wasi wasi ni muhim maana mimi ni mwanadam
Nishaurini je nirudie tena kwenye kuku kule kule au nifuge mfugo gani ambao naweza kupata faida ndani ya miez 7?
Nb. Kuku awam ya kwanza niliwapa dawa, za aina yote ila yakatokea hayo niliyoleza apo juu..
Kiukweli lengo langu mwezi wa wa 8 mwaka Huu Mungu akipenda nipate mtaji ambao utatokana na uwekezaji huo mtakao nishauri kama nilivo Omba apo juu
Asante Sana kwa watakaonisaidia Kwa mawazo Mazuri yenye kunijenga asanteni.!