Nipo Njiani kwenda Zanzibar kumuona Simba aliyeitwa Tundu Lisu na Mhe. Rais Samia.

Nipo Njiani kwenda Zanzibar kumuona Simba aliyeitwa Tundu Lisu na Mhe. Rais Samia.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Habari za weekend Wakuu!

Nipo Njiani nakaribia Zanzibar Kwa Lengo la kumwona Simba Tundu Lisu àmbaye Mhe. Rais Samia amempa jina Hilo.

Nikifika nitakutana na Watu WA eneo Hilo wanipe background ya Simba huyo. Kisha nitaomba nikutane n Mhe. Rais ili nimuulize nini kilimvuta kumpa Simba huyo jina la Tundu Lisu.

Then, nitaandika kijitabu cha riwaya ambacho kitaenda Kwa Jina Simba Tundu Lisu.
Ujûmbe na màtukio nitavipata baàda ya kupata abc za huyo Simba.
Kisha riwaya itaishia pale àmbapo Simba Tundu Lisu aliyekuwa bandani, kukutana na Malkia Mwanamke aliyemtoa bandani Kwa kupenda machachari yake.

Kisha Malkia Mwanamke atampa majukumu simba Tundu Lisu kuleta machachari katika kasri lake na ûtawala wake.
Ukali wa Simba Tundu Lisu nimeshindwa kuukadiria, huu NI Mpaka nifike nishuhudie mwenyewe

Ila najiuliza Ukali WA Simba Tundu Lisu aliyebandani unasababishwaga na Jambo gàni?
Je Njaa?
Je kuchokozwa?
Je kuonewa au kuona Wanyama wengine waliomo bandani wakionewa?

Je Simba Tundu Lisu hujisikiaje akiona Mbwa aina ya German shepherd wakiambatana na Malkia?

Hayo yôte nitayauliza Huko.

Safari ya Zanzibar kunoga.

Robert Heriel
Taikon WA Fasihi
Mbioni kukabili Stone town, Zanzibar
 
Kuitwa SIMBA ni kibali kikubwa sana kiroho .. Kwenye ulimwengu wa giza mafuta ya SIMBA hutumika kuleta ukuu, uthubutu, mamlaka utawala na kujiamini.. Ndio maana yanatafutwa kwa udi na uvumba na viongozi wengi
Mtamkaji inawezekana kabisa alifanya kama utani lakini kiuhalisia ile ilikuwa ni shuruti ya kiroho..
FB_IMG_1724565693916.jpg
 
Simba anapata kipigo cha mbwa mwitu kutoka kwa nyati, ila hakati tamaa, anapigana mpaka aone mwisho wake. Hata simba akifa wengine hawaogopi, wanaendelea na mapambano. Ni huyu Lissu. Mtu mwingine kwa lile shambulio hangeendelea na siasa, ila simba bado anapambana. Naunga mkono, "Lissu ni simba ".
 
Kuitwa SIMBA ni kibali kikubwa sana kiroho .. Kwenye ulimwengu wa giza mafuta ya SIMBA hutumika kuleta ukuu, uthubutu, mamlaka utawala na kujiamini.. Ndio maana yanatafutwa kwa udi na uvumba na viongozi wengi
Mtamkaji inawezekana kabisa alifanya kama utani lakini kiuhalisia ile ilikuwa ni shuruti ya kiroho..View attachment 3078768
Ameisha mkasimisha uraisi tayari
Sisi tuowaza na kufikiri kiroho tumemwelewa
 
Kuitwa SIMBA ni kibali kikubwa sana kiroho .. Kwenye ulimwengu wa giza mafuta ya SIMBA hutumika kuleta ukuu, uthubutu, mamlaka utawala na kujiamini.. Ndio maana yanatafutwa kwa udi na uvumba na viongozi wengi
Mtamkaji inawezekana kabisa alifanya kama utani lakini kiuhalisia ile ilikuwa ni shuruti ya kiroho..
 
Back
Top Bottom