Nipo njiani naenda kutambulishwa ukweni

Nipo njiani naenda kutambulishwa ukweni

Kama mkeo ni mrangi jua umetuolea .......maana tutamloweka mpaka hiyo mark X yako uione bito
we kabila gani, wanawake wa kabila lako hawalowekwi? Acheni ukabila, acheni kutukana, kukebehi, kudharau binadamu wenzenu kwa misingi ya ukabila, hiyo dhambi kubwa. Tabia haina kabila, kila kabila kuna wezi, malaya, wachawi, kuna watu wazuri vilevile. Avoid those shits. Nachukia sana mtu anambagua mwenzie kwa msingi wowotw ule. Mstaarabikage. Mnakera.
 
Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.

Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A

Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.

Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.

Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.

Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.

My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.

" love 😍 is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle

Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba
Ngoja umuoe mkianza maisha halisi ya ndoa ndo utajua ni wife material au vipi? Ila hongera sana kwa hatua uliyofikia mkuu
 
Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.

Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A

Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.

Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.

Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.

Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.

My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.

" love [emoji7] is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle

Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba
Picha please
 
Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.

Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A

Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.

Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.

Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.

Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.

My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.

" love [emoji7] is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle

Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba
Jiandae kuwa chakula ya wote kama ana Dada zake au wadogo zake wa kike, hawana shida wanagawana upendo. Tena anakwambia msaidie ndugu yangu ana hamu, makabila mengine raha sana
 
Jiandae kuchapiwa na ukoo mzima !

Hard to take it, sorry kwa jamii husika !
 
we kabila gani, wanawake wa kabila lako hawalowekwi? Acheni ukabila, acheni kutukana, kukebehi, kudharau binadamu wenzenu kwa misingi ya ukabila, hiyo dhambi kubwa. Tabia haina kabila, kila kabila kuna wezi, malaya, wachawi, kuna watu wazuri vilevile. Avoid those shits. Nachukia sana mtu anambagua mwenzie kwa msingi wowotw ule. Mstaarabikage. Mnakera.
Pole mrangi
 
Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.

Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A

Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.

Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.

Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.

Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.

My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.

" love 😍 is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle

Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba
Siku hazigandi kama ni kondoa ipo siku utakuja na thread ingine lets wait
 
Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.

Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A

Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.

Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.

Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.

Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.

My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.

" love 😍 is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle

Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba
DANGA limeingia mzima mzima
 
Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.

Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A

Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.

Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.

Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.

Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.

My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.

" love 😍 is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle

Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba
Umepata au umepatikana? We oa sisi tutakusaidia kumzalisha
 
Back
Top Bottom