Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Haaahaaa vulvaniMkuu, ukeni? taratibu aisee,,,edit msg yako acha mambo ya bonjour hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaahaaa vulvaniMkuu, ukeni? taratibu aisee,,,edit msg yako acha mambo ya bonjour hapa
Haya maisha ya ajabu sana. Kijana anaweza kupoteaHata mwaka bado ushamuona ni wife material
By the way siku akikuvuruga usikose kutuomba ushauri
Kwakweli anashtua watu anapelekwa ukeni😂😂😂😂Mkuu, ukeni? taratibu aisee,,,edit msg yako acha mambo ya bonjour hapa
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 acha kabisa, ilinishtuaKwakweli anashtua watu anapelekwa ukeni😂😂😂😂
ohooo sawaHuko huko maana yake gesti.
Mi wala siyo mrangi sipendi uwazushie mambo ya uongo wenzio.Pole mrangi
Huwezi juwa labda anaenda kuzama chumvini.Mkuu, ukeni? taratibu aisee,,,edit msg yako acha mambo ya bonjour hapa
Edit hapoBonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.
Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A
Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.
Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.
Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.
Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.
My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.
" love 😍 is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle
Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 na ndo imenishtua mkuu,Huwezi juwa labda anaenda kuzama chumvini.
Sasa kama sio mrangi .........unawashwa washwa na nini ?? Unakuwa kama kiongozi mstaafu banaMi wala siyo mrangi sipendi uwazushie mambo ya uongo wenzio.
Mwenyewe nipo maeneo ya Lumumba nasubiri mrejesho wa mwanaJF nwenzetu alietia Nia,Tupe ripoti za ukeni ulikoenda.
..ok..uke mwema..enjoy uke huo...angalia tu usizame sana chumvini...kuna kansa za koo sana siku hizi..kwa wala uke..Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.
Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A
Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.
Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.
Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.
Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.
My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.
" love 😍 is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle
Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba
😂😂😂😂Mwenyewe nipo maeneo ya Lumumba nasubiri mrejesho wa mwanaJF nwenzetu alietia Nia,
I hope mkuu Lumumbashi umeshafika