Nipo njiani naenda kutambulishwa ukweni

Nipo njiani naenda kutambulishwa ukweni

Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.

Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A

Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.

Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.

Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.

Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.

My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.

" love 😍 is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle

Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba
Umekwisha
 
Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.

Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A

Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.

Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.

Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.

Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.

My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.

" love 😍 is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle

Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba
Mkuu hongera sana

Ila ukipigwa na kitu kizitoo

Pia ujee kama ulivyokujaa kububujika hivihivii

Na ID hiihiii.

Na kwa Warangii tuuu kazi unayo Tajiri yanguu

Hakikisha huishiwi Nguvuu.

Hakikisha haendiendi kwao maana lazima agaweee chakula chakoo

Maana warangi najua vyema
 
Unaenda kutambulishwa UKENI eh sawa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Haya Meku, mapenzi ya mwanzo mwanzo ndiyo hapo hivyo, subiri mzoeane vizuri.
 
Wewe ni kabila gani? Kabla haujaolewa au kuwa kimada wa mtu ulikuwa bikra?
😁😁😁Mbona mapovu?bikra,mke,kimada na kabila vinahusianaje hapo?....mi nimejisemea tu mrangi unaanza kuulizwa bikra yangu we Kaka vipi?
 
Hongera mkuu na Mungu awafanyie wepesi mfikie kwenye ndoa
 
We need a quick rescue over
Man down, Man down
I repeat
Man down, Man down
 
Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.

Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A

Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.

Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.

Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.

Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.

My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.

" love 😍 is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle

Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba

Warangi, wanyaturu, wambulu sio wachoyo kabisa, bado mapema sana kijana, ndo ni taasisi ngumu sana
 
Back
Top Bottom