Nipo njiani naenda kutambulishwa ukweni

Niko hapa nakungoja kwaajili ya ushauri maana maneno ya sijui wife material au future wife hayana muda Sana yatapotea tu.
 
Hata mwaka bado ushamuona ni wife material

By the way siku akikuvuruga usikose kutuomba ushauri
Haya maisha ya ajabu sana. Kijana anaweza kupotea

Courtship nadhan inabidi ichukue angalau mwaka, uweze kumsoma mwenzako kwenye states zote anazoweza kupitia. Na kwenye huo mwaka miezi ya mwisho mwisho ndo ya muhimu, then unamsurprise na ndoa kama bado katulia
 
Kwakweli anashtua watu anapelekwa ukeniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 acha kabisa, ilinishtua
 
Edit hapo
 
Mleta mada umepewa papuchi na kufinyiwa ndani basi ndio umempa sifa kuwa wife material,vijana mna haraka sana ya maisha.
 
..ok..uke mwema..enjoy uke huo...angalia tu usizame sana chumvini...kuna kansa za koo sana siku hizi..kwa wala uke..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…