Nipo njiani naenda kutambulishwa ukweni

Umekwisha
 
Umeingia Cha kike..
Mwenyewe kidogo nioe mrangi niliponea majogoo.....
mrangi
 
Mkuu hongera sana

Ila ukipigwa na kitu kizitoo

Pia ujee kama ulivyokujaa kububujika hivihivii

Na ID hiihiii.

Na kwa Warangii tuuu kazi unayo Tajiri yanguu

Hakikisha huishiwi Nguvuu.

Hakikisha haendiendi kwao maana lazima agaweee chakula chakoo

Maana warangi najua vyema
 
Unaenda kutambulishwa UKENI eh sawa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Haya Meku, mapenzi ya mwanzo mwanzo ndiyo hapo hivyo, subiri mzoeane vizuri.
 
Wewe ni kabila gani? Kabla haujaolewa au kuwa kimada wa mtu ulikuwa bikra?
😁😁😁Mbona mapovu?bikra,mke,kimada na kabila vinahusianaje hapo?....mi nimejisemea tu mrangi unaanza kuulizwa bikra yangu we Kaka vipi?
 
Hongera mkuu na Mungu awafanyie wepesi mfikie kwenye ndoa
 
We need a quick rescue over
Man down, Man down
I repeat
Man down, Man down
 

Warangi, wanyaturu, wambulu sio wachoyo kabisa, bado mapema sana kijana, ndo ni taasisi ngumu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…