Hello friends!! Nina imani kwamba mume bora hutoka kwa Mungu, na Mungu anaweza akanikutanisha nae popote pale. Nahitaki mwenza wa maisha(mumu wa maisha) mwenye vigezo vifuatavyo.
1: awe tayari kwenda kupima UKIMWI
2:umri wa miaka 27-33
3:elimu, degree moja na kuendelea
4:a true Christian
5: any tribe(except mhaya)
6:honest and caring
7:hardworker
Na itakuwa vizuri zaidi kama atakuwa anaishi Dar.
1: awe tayari kwenda kupima UKIMWI
2:umri wa miaka 27-33
3:elimu, degree moja na kuendelea
4:a true Christian
5: any tribe(except mhaya)
6:honest and caring
7:hardworker
Na itakuwa vizuri zaidi kama atakuwa anaishi Dar.