Nipo Singida leo

Nipo Singida leo

daah umeenda msimu wa kibaridi.. ungeweka interest zako ungepata ushauri mzuri zaidi....
MUDA HUU PITIA PALE UBUNGO/AZAM UTAFUNE KUKU WA KIENYEJI KIDOGO... AU PALE CRDB/TRA KAMA UNAPANDA KIRIMA BAR UPANDE WA KULIA UNYWE MAZIWA MOTO YA NG'OMBE wa kienyeji.... uwe makini kutembea usiku sio mji salama sana na una matukio ya ajabu na wizi... kama umefikia lodge uwe makini usiache vitu vya thamani chumbani kuna wizi mno..hii uhusisha hata zile lodge kongwe na maarufu mfn. stanley... ukilala rum usitoe funguo kwenye tundu ya mlango watu wana funguo mbilimbili...
**waweza enda singida motel kwa wastaarabu
**aqua vitae
**.kesho mchana kama utakuwa hujafunga nenda town maeneo ya sokoni/msikiti wa kati au ulizia tu kwa josiah ukapige ndizi na mishikaki kaanga.... msosi mzuri ulizia singapore au safina restaurant(snacks)

Asante mkuu.
Hapo kwa huyo jamaa nimefika c pana ka-guest hapohapo?Jamaa ana nyama choma nzuri sn na ndizi.
 
Ila Vijana wengi wa Singida hawapendi kazi ngumu wanapenda laini laini tu.
 
Yes,jr me najua ni junior.Na mara nyingi jr huwa ni madume mkuu.
Me nipo maeneo wanasema yanaitwa Misuna.


Id za watu wengi wa JF zitakuumiza kichwa! We mgeni si eti? Mwenyeji wako ndo yupo misuna?
 
Haaaaaah we si ushamaliza kila kitu! Hadi kwa josiah kabisa kuna mdau kasema KBH hapo nadhani ameelewa!
Haaaaaaaah mi wazamani huwezi nifahamu banaaa
May be.. nilikuwa mtumishi wa serikali kwa miaka 3 nkahama huko
 
Nahisi unajua neno hilo tu!
Jifunze na hili wahanya urhe

Hahahaa..hiyo lugha ilinichemsha sana..nliishia kujua vitu basic tu.. na nlikuwa mtata kudai "masesa" kila nkienda shoping sokoni..
 
Hahahaa..hiyo lugha ilinichemsha sana..nliishia kujua vitu basic tu.. na nlikuwa mtata kudai "masesa" kila nkienda shoping sokoni..


Haaaaaaaaaaah umenichekesha sana! Hilo neno masesa wageni wengi huwa wanalipenda sana.
 
Ila hiyo Katara Beach Resort imebadilisha hospitality industry ya mji huo.
 
Hapo Azam singida pana kuku wa kufa mtu hakuna broilers, kama Chako ni chako ya Dom, vijana wanakesha halafu naona lodge za mtaa ule zina maboresho kama Friends lodge.
 
daah umeenda msimu wa kibaridi.. ungeweka interest zako ungepata ushauri mzuri zaidi....
MUDA HUU PITIA PALE UBUNGO/AZAM UTAFUNE KUKU WA KIENYEJI KIDOGO... AU PALE CRDB/TRA KAMA UNAPANDA KIRIMA BAR UPANDE WA KULIA UNYWE MAZIWA MOTO YA NG'OMBE wa kienyeji.... uwe makini kutembea usiku sio mji salama sana na una matukio ya ajabu na wizi... kama umefikia lodge uwe makini usiache vitu vya thamani chumbani kuna wizi mno..hii uhusisha hata zile lodge kongwe na maarufu mfn. stanley... ukilala rum usitoe funguo kwenye tundu ya mlango watu wana funguo mbilimbili...
**waweza enda singida motel kwa wastaarabu
**aqua vitae
**.kesho mchana kama utakuwa hujafunga nenda town maeneo ya sokoni/msikiti wa kati au ulizia tu kwa josiah ukapige ndizi na mishikaki kaanga.... msosi mzuri ulizia singapore au safina restaurant(snacks)

Kaka umenikuna sana,ndo hom huko me nipo Mwanza no pm utapata sato fresh mkuu
 
Back
Top Bottom