Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ijapokua ni kamji kadogo lakini Usiondoke bila kufika KBH {Kantala Beach Hotel.
Kaka umenikuna sana,ndo hom huko me nipo Mwanza no pm utapata sato fresh mkuu
Jimbo la mwingulu lina nyumba ngapi za bati?
Asante mkuu.
Hapo kwa huyo jamaa nimefika c pana ka-guest hapohapo?Jamaa ana nyama choma nzuri sn na ndizi.
Ila Vijana wengi wa Singida hawapendi kazi ngumu wanapenda laini laini tu.
Jimbo la mwingulu lina nyumba ngapi za bati?
Nipo Singida leo.
Ni hilo tu usichukie,kama kuna mwenyeji naomba ajitokeze japo niufahamu mji wa Wanyaturu.
Lol.... ulaeleani mnaso?
Uko wap nikufate?
unwaso sika ka mnanso,kajamaa kasumbate
Aiseeeeee... songela zigizigi kwa taarifa...
heeh,heeh hizi fake ID hizi,usikute hapa nachat na dada angu Mariam
Hahahaaaa, we endelea tu!heeh,heeh hizi fake ID hizi,usikute hapa nachat na dada angu Mariam
Hahahaaaa usihofu dear... l am not Mariam...