Nipo Singida leo

Nipo Singida leo

Sema kwanz jinsia yako!!! Mi nipo kilimani hapa ka vipi ibuka
 
Singida kuna Kuku wa kienyeji bwana! Napamisi kweli, ukienda Kiomboi ndio balaa.
 
Singida kuna Kuku wa kienyeji bwana! Napamisi kweli, ukienda Kiomboi ndio balaa.

Umebonga mkuu.. na ukiwa mpenzi wa ng'ombe na mbuzi hadi fizi itauma.. kiomboi/ mjini irambaaaa
 
we wa mkoa gani,mbona unatutukana,kwa taarifa yako mji tumeujenga wenyewe

Sijawatukana nimewapa sifa yenu stahiki mimi nawajua vyema kuanzia Gehandu,Mwahu,Sagara,Itaja,Kinyamwenda,Msikii,Mughamu,Mgori,Msange,Maghojoa,Kinyeto,Unyambwa,mpaka Ilongero hampendi kazi ngumu hata mliobahatika kuja huku mjini wengi wenu vijana wa kiume mnafanya kazi za unyozi saluni.
 
Makange na biriani vinapatikana huko? Maeneo gani hasa?
 
Back
Top Bottom