Nipo single, haya ni Matumizi yangu ya wiki moja - nipe ushauri

ndo mana nikaona nijitafakari, ahsante mkuu
Kweli jitathmini, usawa huu ukiwa unabajet kubwa sana hutaweza kufanya maendeleo mengine.

Note; Nna mke kwahyo vitu k.m maharage,mchele, dagaa, sukari, unga, mafuta nanunua jumla na sio rejareja huwa inasaidia kupunguza gharama.
 
Nilivyoiona hiyo sadaka .. nimehisi unaimani kubwa kubwa, Naona nikuache na ulivyojipangia hayo mengine, Mungu anakuwezesha sana
Hahaha hahaha
Ya Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari!
 
sadaka acha usiguse kama unaweza kuongeza ni sawa!!

kama una fridge
nyama nunua kilo weka pika kidogo kidogo
mchele wa jumla 3kg hadi 5kg
viungo vya mboga nenda sokoni sio gengeni nunua vya kutosha utatumia pesa kidogo
mafuta ninua 3lts au 5lts yatakaa zaidi ya wiki 3 mpaka mwezi plus

narudia usinunue gengeni nenda sokoni
 
Aisee watu mna maisha safi yasiyo na taabu.
Mimi nilifanikiwa kuongeza uumbaji wa Mungu kwa kiasi cha wastani nina watoto 5,mke 1,tuna Dada wa kazi 1 so jumla tupo 8,watoto 4 wapo medium schools.
Bahati nzuri naishi kwenye kibanda changu /sipangi.
Mshahara ni 1.5M.
So nikiona hiyo bajeti yako nacheka means leo nikikupa familia kwa muda siku tatu nitakuta umeitoroka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji6][emoji23][emoji23]
View attachment 1122082
Kama picha inavyojionesha ndugu, wenye uzoefu na ujuzi nipeni maoni na ushauri, taie home 500
 
vidogo vidogo ndo VOCHA utumazo kwa yule she?

uko vizuri aiseeee, ukiwowaa hizo gharama zitashukaaa
 
Tusizinguane unatafuta sifa tu humu. Bachela anatumia 70k kwa wiki na hiyo ni kwakufuja hujapika geto. Mahitaji mengine yote unapanga kwa mwezi na sio wiki. Vinginevyo we ni mzee wa tungi hutaki kuweka wazi.
 
Watoto wa kishua hao. Hawajuhi hizo mambo venyewe sisi hufanya huku magetoni.
Hajui watoto wa kihuni tunaishije, hapo utakuta kanunua set ya vyombo vyote adi vijiko.

Picha linaanza muhuni anasufuria, bakuli na sahani moja, kupika inatangulia mboga linafata dongo paka haruki! Ukikosea mfumo.utapata tabu ya kuosha upya sufuria.
 
Hajui watoto wa kihuni tunaishije, hapo utakuta kanunua set ya vyombo vyote adi vijiko.

Picha linaanza muhuni anasufuria, bakuli na sahani moja, kupika inatangulia mboga linafata dongo paka haruki! Ukikosea mfumo.utapata tabu ya kuosha upya sufuria.
sadaka 75,000/= kwa wiki?
 
Oa mkuu tena uoe mwanamke mkuda ambae hana matumizi makubwa ya pesa akusaidie kucontrol matumizi ya pesa...... Naona wewe mwenyewe umeshindwa
Tarehe 1/6/2019 nilifanya shopping kwa maandalizi ya Eid, ndio maana matumizi yakawa makubwa.

Kwa kawaida huwa inachezea fifty kwa wiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…